Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bagamoyo road leo 11 Apr 2017. Dar es salaam
BagamoyoRR2.jpg
BagamoyoRR3.jpg
BagamoyoRR1.jpg
 
Jamaa wamekimbia Huku
wameenda Kisumu hahaha
Ajabu wanaitajataja Mwanza,Arusha
sasa Wangeanzisha mji wa 3 tz vs Mji 3 Kenya
hii thread haikimbiliki,wanazunguka huko kwingine lakini mwisho wa siku lazima wachungulie hapa na uvimilivu ukiwashinda,wanachangia mada.hahahahaha

mfano mdogo ni hizo latest beautiful photos anazotuwekea comrade mwenzetu Annael, wakenya wakiziona lazima wapagawe.

hawawezi zuia hisia zao.watakuja kwa pupa na kila mtu ataanza ku-repost picha zake za mitaa ile ile ya siku zote.
 
Bongolala mtaendelea kulala tu..nyinyi dar pekee mnajivunia sisi tukiwa na +10 mega towns
Ujaribu kuandika kwa kijifikirisha Kidogo!!

Tanzania ndio inamiji mingi kuliko Kenya!!
Tanzania bara ina zaidi ya mikoa 22 na makao makuu yamikoa hiyo ni miji

Tuna kuruhusu
nenda kaanzishe Arusha Vs Kisumu
kisha Uone mziki wake
 
Ujaribu kuandika kwa kijifikirisha Kidogo!!

Tanzania ndio inamiji mingi kuliko Kenya!!
Tanzania bara ina zaidi ya mikoa 22 na makao makuu yamikoa hiyo ni miji

Tuna kuruhusu
nenda kaanzishe Arusha Vs Kisumu
kisha Uone mziki wake
Hana huo ubavu si umeona amejinga ati MEGA, hizo ranking nani huwa anawapatia? mtia huruma sana ila hakuna namna itabidi tuwaonyeshe Kazi tu Tz nikiboko yao
 
Ujaribu kuandika kwa kijifikirisha Kidogo!!

Tanzania ndio inamiji mingi kuliko Kenya!!
Tanzania bara ina zaidi ya mikoa 22 na makao makuu yamikoa hiyo ni miji

Tuna kuruhusu
nenda kaanzishe Arusha Vs Kisumu
kisha Uone mziki wake
Miji mbingi mbovu?? Ata kamjii ka Embu nilete picha hapa utatoroka msee
 
Back
Top Bottom