Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uzuri waKenya ni watu wa bidii. Watu wa ajabu. Watu wa kujikakamua. Watu hatari sana. Ndio maana umaskini umekua ukipungua.

2005: 42%
2010: 36%
2018: 28%

TUUSAN, nafikiri unaona mtindo. Hata hivyo, hatuwezi kusema umaskini utaisha. Lazima kuwe na watu wenye tabaka ya chini katika society yoyote. Difference ni, waKenya ni watu wa kupenda kuimarisha maisha yao.
Kumbe umeiva Swa hivi
Bado hajaiva vizur...
28% ni data ya kusadikika sio sahihi
Uchumi wa kibepari ndio uko Bongo sahv katika nchi yenye sera Za kiujamaa...
Bongo sahv kama hufanyi kazi utaumia zaman ilikua anafanya kazi jamaa mmoja wategemezi wengi wanafika kwake kula na kulala kwa kigezo cha undugu lakini kwa sasa hapana. ..

Pili zaman waajiriwa wengi hawakua wanajishughulisha na biashara zaidi walikua wanalima tu kilimo kisichokua na tija lakini Kwa sasa watu wamefunguka zaidi Yaani unaajiriwa na wewe unaajiri watu wako wakukufanyia kazi ...mfumo wa kibepari maana yake ni fanya kazi unufaike usifanye uabike
 
Screenshot_2018-08-11-19-51-32-996_com.tapatalk.kenyatalkcom.jpg
 
naah.... kila siku tunawaona wenzako wakimsifia Makufuli mara ohh ati 'Jiwe Chuma', 'Akhsante Magu', 'Magu Kiboko', 'Jiwe', 'Jembe' e.t.c

ni ushamba, ulimbukeni, uzuzu, uzwazwa, ujuha, undezi, upoyoyo... name them.
Kenya tuliacha mambo hayo nyakati za Moi. Saa hii ukipewa kazi, ni uchape kazi na sio kukenuakenua meno na kujishebedua na kujiona mfalme huku ukiwagawia wananchi wako mapaipai na kuona it's a big deal!!!
USHENZI.
Ikiwa wapo wakenya wenzako wanamsifu.....sembuse wenye raisi wao....

Pole
 
Kadoda ungeitwa kidonda. Wewe unashinda tu habari na taarifa za Kenya ilhali hapo Danganyika kuna visa na mikasa zaidi ya hayo. Wala zeruzeru tunawafahamu sana
 
Uzuri waKenya ni watu wa bidii. Watu wa ajabu. Watu wa kujikakamua. Watu hatari sana. Ndio maana umaskini umekua ukipungua.

2005: 42%
2010: 36%
2018: 28%

TUUSAN, nafikiri unaona mtindo. Hata hivyo, hatuwezi kusema umaskini utaisha. Lazima kuwe na watu wenye tabaka ya chini katika society yoyote. Difference ni, waKenya ni watu wa kupenda kuimarisha maisha yao.
leta link kua umaskini umepungua😂😂😂
watu hawana ajira alaf umaskini unapungua vp 👆👆👆👆
 
wameanza kuogopa biashara sasa😂😂😂😂👇👇👇👇👇👇👇👇 kumbe tanzania wanaijua vzr sana

 
leo ndio wameshtuka kua mchina alieacharaza kisawasawa kwa kuwaletea gari moshi lilotumika miaka 100 iliopita😂😂😂👇👇👇

 
This is what every kenyan huwa wanashangaa...sasa when a road is being extended unaskia magu asifiwe...magu mungu wetu..magu mpaka milele...kwani hamna minister wa ujenzi....ama magu ndo anadetermine choo itajengwa wapi ama magu ndo kufungua lift ya kwanza nchi yao....nawahurumia kweli...
Ikiwa hawana governors
 
Wacha historia. Leta vitu vya juzi au jana. Historia kila mtu anayo
do you know what the term "history" means???
na wakenya wenzako wame-like,ina maana wameona umepost kitu cha maana sana!!so, yesterday ain't a history??did you note the foolishness that filled your head??
 
Back
Top Bottom