Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kwa hiyo nyie pekee ndiyo mnagain......?..
Huko somalia hapatuhusu huko ni haki yenu kupalinda kila nchi lazima isimamie mipaka yake ,,,na hakuna hatujawahi kuonbwa kutoa msaada huko hata siku moja,,,wakenya mmelala inabidi jeshi lenu lichangamshwe kidogo ili siku nyingine msiwe mnaiba juice kwenye harakati za ulinzi wa taifa
Amison yoote wengine Wametoka Nigeria,Uganda,Ethiopia,USA,Britain,Kenya,Congo na Somalia wenyewe woote wako huko who are you!? Yani you claim to be part of East Africa na hata kuisaidia jirani wenzenu Somalia hamuwezi? ni nini mtasaidia East Africa nyinyi? yani kwa....
1. Sports-0
2. Army-0
3. Economy-0
4. Education-0
5. Inovation-0

*Ni nini mtasaidia East Africa?? Uzembe?? Udaku?? ama ujinga!
*Tanzania is a disgrace to the East African Community!
 
Mshamba ni magu alituaibisha waafrika na hii ushamba ya Tanzania!!
Screenshot_20180709-230646.jpg
 
Tanzania liko na jeshi gani?? What mission has it ever accomplished?? acha tuone....KDF vs Tzarmy

1. Liberating Mogadishu✓-KDF
1. ?????????????- Tzarmy.

2. Liberating the Indian ocean from piracy✓- KDF
2. show ground - Tzarmy

3. Conquered Kismayu ✓-KDF
3. ??¿????¿¿- Tzwanamgambo.

Tz army nikama GSU ya kenya they have no mission, their mission is to worship Magufuli & Calm down strikes za watoto wa shule Hamuwezani vita, nyinyi ni Bure Kabisa #Cowards! acheni udaku fikeni somalia kama kweli nyinyi ni wanaume tuone View attachment 832030View attachment 832031
Kanali Kashmir, Mahfoudh walivyosaidia msumbiji kupata uhuru -2
 
Amison yoote wengine Wametoka Nigeria,Uganda,Ethiopia,USA,Britain,Kenya,Congo na Somalia wenyewe woote wako huko who are you!? Yani you claim to be part of East Africa na hata kuisaidia jirani wenzenu Somalia hamuwezi? ni nini mtasaidia East Africa nyinyi? yani kwa....
1. Sports-0
2. Army-0
3. Economy-0
4. Education-0
5. Inovation-0

*Ni nini mtasaidia East Africa?? Uzembe?? Udaku?? ama ujinga!
*Tanzania is a disgrace to the East African Community!
Huna jambo unajifurahisha ....hivi kwa akili yako ndogo unadhani majeshi huwa yanajiendea tu kwenye mapambano yakusaidia taifa flani ....?..
 
Amison yoote wengine Wametoka Nigeria,Uganda,Ethiopia,USA,Britain,Kenya,Congo na Somalia wenyewe woote wako huko who are you!? Yani you claim to be part of East Africa na hata kuisaidia jirani wenzenu Somalia hamuwezi? ni nini mtasaidia East Africa nyinyi? yani kwa....
1. Sports-0
2. Army-0
3. Economy-0
4. Education-0
5. Inovation-0

*Ni nini mtasaidia East Africa?? Uzembe?? Udaku?? ama ujinga!
*Tanzania is a disgrace to the East African Community!
Ukinywa pombe za ganda la ndizi huwa unajitekenya sana ili ujifurahishe
 
Miraa kitega uchumi huku bana. Inatafunwa kutafunwa, na kuuzwa kuuzwa (hadi ulaya BTW)

Mkiwa na backward thinking hivi, mtaendeleaje?
kulima chakula hamuwezi lakini miraa munaweza 😂😂😂 kweli njaa haitawaacha salama
 
kulima chakula hamuwezi lakini miraa munaweza kweli njaa haitawaacha salama
waKenya watu wa kutafuta pesa. Iwe Miraa, coffee ama chai.. Tutakuza tuuze alafu twende tukule KFC, Pizza Inn, Pizza Hut ama Fogo Gaucho


Kulima tumewaachia waTZ
 
waKenya watu wa kutafuta pesa. Iwe Miraa, coffee ama chai.. Tutakuza tuuze alafu twende tukule KFC, Pizza Inn, Pizza Hut ama Fogo Gaucho


Kulima tumewaachia waTZ
so kulima sio kutafuta pesa 😂😂😂😂
 
Miraa kitega uchumi huku bana. Inatafunwa kutafunwa, na kuuzwa kuuzwa (hadi ulaya BTW)

Mkiwa na backward thinking hivi, mtaendeleaje?
HII Miraa ndio imefanya tu mgolombi twa vijana wa kikenya kua tepetepe kama matambala ya kupigia deki, matokeo yake mabinti wa kikenya wanawapenda machalii wa bongo
 
Back
Top Bottom