Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,845
- 52,251
Aiii mi flyover hainilipii billskuja nikuoneshe vile flyover inakaa au a 10-lane Superhighway.
Nikajua utasema nikuje nione bank balance
Aiii mi flyover hainilipii billskuja nikuoneshe vile flyover inakaa au a 10-lane Superhighway.
wanadanganywa na mapaipai.Do you ever question your government..huku kenya atakam unasupport uhuru kuna mambo ambayo lazma uwe makini..ndo maana kila siku utaskia masiri zinafichuliwa..uko na hakaki kwamba mungu wenyu magufuli ni malaika...ye ni binadamu kama wewe..na we ndo umemwajiri kazi...ask about health..education .living conditions..infrastructure na muache kudanganya kama kuku kutupiwa mahindi....
Wanaopaswa kuuliza hayo Ni wabunge ambao ndio wawakikishi wa wananchi, haiwezekan kila mtu akawa anauliza gov Maswali, hivyo basi mbunge anapokaa na wananchi kwenye jimbo lake anapewa changamoto Za sehemu husika na kuzifikisha bungeni ambako ndio yatapata majibu kutoka kwa mawaziri ambao ndio wanashughulikia kero za wananchi! !Do you ever question your government..huku kenya atakam unasupport uhuru kuna mambo ambayo lazma uwe makini..ndo maana kila siku utaskia masiri zinafichuliwa..uko na hakaki kwamba mungu wenyu magufuli ni malaika...ye ni binadamu kama wewe..na we ndo umemwajiri kazi...ask about health..education .living conditions..infrastructure na muache kudanganya kama kuku kutupiwa mahindi....
Deal.Aiii mi flyover hainilipii bills
Nikajua utasema nikuje nione bank balance
wanadanganywa na mapaipai.
yaani akishashiba mapaipai tu, utasikia 'Viva JPM' 😀
majamaa bado wako enzi ya MoiSix Lane za kibaha zikikamilika nina kibarua hapoDeal.
Sema unakam when??
nice.Six Lane za kibaha zikikamilika nina kibarua hapo
Good evening.nice.
will be looking foward.
Hao wanaomiliki uchumi jinsi unavyosema TUUSAN, ndio sababu Kenya iko na the largest and rapidly growing middle class citizens in sub-saharan africa.Ndio maana kuna karen na kibera..
Yani bora Dar kuna mbezi beach na manzese ,kule manzese ni uswahilini haswa lakini hakujafikia kiwango cha kibera. ..uchumi wenu unamilikiwa na group fulani kuna wengi wanaishi kama mateka

Masikini atabaki kua masikini uko,msifikie tu wahindi kule kalkota watu wanakufa njaa kwa story hizihizi za kusema middle class inakua kwa kasiHao wanaomiliki uchumi jinsi unavyosema TUUSAN, ndio sababu Kenya iko na the largest and rapidly growing middle class citizens in sub-saharan africa.
Habari ndio hiyo![]()
hivi unayo akili sawa sawa wewe!!!living condition inatenganaje na miundombinu!???sasa tukimsifia raisi wetu kwa ujenzi wa reli au barabara wewe unapata mimba!!!.akizindua ujenzi wa kinu cha kufua umeme unapata tumbo la kuhara,why!!!!Do you ever question your government..huku kenya atakam unasupport uhuru kuna mambo ambayo lazma uwe makini..ndo maana kila siku utaskia masiri zinafichuliwa..uko na hakaki kwamba mungu wenyu magufuli ni malaika...ye ni binadamu kama wewe..na we ndo umemwajiri kazi...ask about health..education .living conditions..infrastructure na muache kudanganya kama kuku kutupiwa mahindi....
Uzuri waKenya ni watu wa bidii. Watu wa ajabu. Watu wa kujikakamua. Watu hatari sana. Ndio maana umaskini umekua ukipungua.Masikini atabaki kua masikini uko,msifikie tu wahindi kule kalkota watu wanakufa njaa kwa story hizihizi za kusema middle class inakua kwa kasi
Angalia nchi kama China matajiri wakubwa kulingana na pop yao sio wengi kama usa lakin wachina wengi wanaishi poa tu
uchumi wa kibepari unajua misingi yake????Unajua sababu ya kuwepo eneo kama kibera hapo kati?unajua ni kwanini ni idadi kubwa sana ya watu wa hali hiyo na haishuki?na ni kwanini ni shughuli inayoishinda hata serikali kuondoa hilo eneo hapo???Hao wanaomiliki uchumi jinsi unavyosema TUUSAN, ndio sababu Kenya iko na the largest and rapidly growing middle class citizens in sub-saharan africa.
Usidhani Kenya tabaka ni mbili tu eti the rich and the poor. Hapo katikati kuna idadi kubwa sana ya hiki kikundi cha middle class citizens.
Habari ndio hiyo![]()
Sasa wewe uliyezaliwa na kuishi katika uchumi au kwenye mtindo wa ujamaa utanifunza/utawafunza waKenya nini kuhusu uchumi wa kibepari?uchumi wa kibepari unajua misingi yake????Unajua sababu ya kuwepo eneo kama kibera hapo kati?unajua ni kwanini ni idadi kubwa sana ya watu wa hali hiyo na haishuki?na ni kwanini ni shughuli inayoishinda hata serikali kuondoa hilo eneo hapo???
KAA ENDELEA KUOTA MCHANA.


Kumbe umeiva Swa hiviUzuri waKenya ni watu wa bidii. Watu wa ajabu. Watu wa kujikakamua. Watu hatari sana. Ndio maana umaskini umekua ukipungua.
2005: 42%
2010: 36%
2018: 28%
TUUSAN, nafikiri unaona mtindo. Hata hivyo, hatuwezi kusema umaskini utaisha. Lazima kuwe na watu wenye tabaka ya chini katika society yoyote. Difference ni, waKenya ni watu wa kupenda kuimarisha maisha yao.
Haha asanteKumbe umeiva Swa hivi

Ungekuwa unajua usingeandika ule upupu pale juu,ujamaa imefanya slum isiwepo dar.Sasa wewe uliyezaliwa na kuishi katika uchumi au kwenye mtindo wa ujamaa utanifunza/utawafunza waKenya nini kuhusu uchumi wa kibepari?
Pambaneni na hali yenu. Naskia siku hizi mnataka kuifata kiubepari pia.![]()
Mbali za hizo slums walizonazo pia wana unplaned areakwa hali hio slum hazitakweisha
4.5 million alaf area 696 km na hapo usisahau nusu ya hio area ni ya kenyatta na washirika wake

Ni hatari sanacity area 696 km sq alaf people 4.5million alaf nusu ya hio area ni mali ya kenyatta na wazungu iliobaki ndio ya yenu nyie kwangu pakavu tia mchuzi![]()
Mbona nyie mnasifia uhuru....na hatuongeihe is your servant. you pay taxes that pays him to do that job.... haja gani kummiminia sifa kedekede?! tunawaona mafala sana mujue.....