Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

This is what every kenyan huwa wanashangaa...sasa when a road is being extended unaskia magu asifiwe...magu mungu wetu..magu mpaka milele...kwani hamna minister wa ujenzi....ama magu ndo anadetermine choo itajengwa wapi ama magu ndo kufungua lift ya kwanza nchi yao....nawahurumia kweli...
My friend wenye kusikia wamesikia,alichaguliwa afanye iyo kazi na ofcz aifanye kisawasawa,Mwisho wa siku tumuulize ulisema na uliahidi hiki kwanini hukutenda kwa wakati...
Ni wajibu wa serikali kuyafanya hayo kwa kupengzwa au bila ya pongezi!!
Baba anaetunza familia yake vizur ni kawaida Ila asietunza ndio anafaa kuulizwa kwann hujitambui...
 
Ni shida kwa jinsi city ya nairobi ilivyopwaya na kwa jinsi city yao ilivyo ndogo na watu ni wengi napata mashaka huwa idadi yote ya raia waliopo nairobi wanaishi wapi....?..

Maana wanakujaga na estate ambazo ni chache kulingana na population yao
kwa hali hio slum hazitakweisha
😂😂😂😂😂😂😂😂
4.5 million alaf area 696 km na hapo usisahau nusu ya hio area ni ya kenyatta na washirika wake
 
Ushamba na ujinga utakua kisa cha kifo chako. Sasa unafikiria hao watu umetaja wanafungiwa katika the confines of that 696kmsq? Unafikiria Nairobi ni zizi?

Nairobi METRO is bigger than your dar. Know the word.

METROPOLITAN View attachment 832880View attachment 832885
city area 696 km sq alaf people 4.5million alaf nusu ya hio area ni mali ya kenyatta na wazungu iliobaki ndio ya yenu nyie kwangu pakavu tia mchuzi😂😂😂😂😂
 
city area 696 km sq alaf people 4.5million alaf nusu ya hio area ni mali ya kenyatta na wazungu iliobaki ndio ya yenu nyie kwangu pakavu tia mchuzi
Kelele za chura. Panda ndege (KQ) utembee NAIROBI

Otherwise,
IMG_20180724_100119.jpg
 
My friend wenye kusikia wamesikia,alichaguliwa afanye iyo kazi na ofcz aifanye kisawasawa,Mwisho wa siku tumuulize ulisema na uliahidi hiki kwanini hukutenda kwa wakati...
Ni wajibu wa serikali kuyafanya hayo kwa kupengzwa au bila ya pongezi!!
Baba anaetunza familia yake vizur ni kawaida Ila asietunza ndio anafaa kuulizwa kwann hujitambui...
he is your servant. you pay taxes that pays him to do that job.... haja gani kummiminia sifa kedekede?! tunawaona mafala sana mujue.....
 
Nairobi Metro = 32,000sqkm and above.
dar has no metro since haijadevelop na ku-break it's boundaries...!
 
he is your servant. you pay taxes that pays him to do that job.... haja gani kummiminia sifa kedekede?! tunawaona mafala sana mujue.....
Kiswahili nilichoandika hujakielewa embu kisome tena,
Nimesema serikal kupongezwa au kutopongezwa sio lazima, muhimu ni watimize majukumu yao na wafanye kama walivyoahidi kwasababu mwisho wa siku tutawauliza kwann hamkutenda kama mlivyoahidi
 
I'm just gonna leave this here. Not that it's something to be proud of.. but anyway View attachment 832828

2015 data
Ndio maana kuna karen na kibera..
Yani bora Dar kuna mbezi beach na manzese ,kule manzese ni uswahilini haswa lakini hakujafikia kiwango cha kibera. ..uchumi wenu unamilikiwa na group fulani kuna wengi wanaishi kama mateka
 
Kiswahili nilichoandika hujakielewa embu kisome tena,
Nimesema serikal kupongezwa au kutopongezwa sio lazima, muhimu ni watimize majukumu yao na wafanye kama walivyoahidi kwasababu mwisho wa siku tutawauliza kwann hamkutenda kama mlivyoahidi
naah.... kila siku tunawaona wenzako wakimsifia Makufuli mara ohh ati 'Jiwe Chuma', 'Akhsante Magu', 'Magu Kiboko', 'Jiwe', 'Jembe' e.t.c

ni ushamba, ulimbukeni, uzuzu, uzwazwa, ujuha, undezi, upoyoyo... name them.
Kenya tuliacha mambo hayo nyakati za Moi. Saa hii ukipewa kazi, ni uchape kazi na sio kukenuakenua meno na kujishebedua na kujiona mfalme huku ukiwagawia wananchi wako mapaipai na kuona it's a big deal!!!
USHENZI.
 
naah.... kila siku tunawaona wenzako wakimsifia Makufuli mara ohh ati 'Jiwe Chuma', 'Akhsante Magu', 'Magu Kiboko', 'Jiwe', 'Jembe' e.t.c

ni ushamba, ulimbukeni, uzuzu, uzwazwa, ujuha, undezi, upoyoyo... name them.
Kenya tuliacha mambo hayo nyakati za Moi. Saa hii ukipewa kazi, ni uchape kazi na sio kukenuakenua meno na kujishebedua na kujiona mfalme huku ukiwagawia wananchi wako mapaipai na kuona it's a big deal!!!
USHENZI.
Haha embu tulia ujumbe umefika,take a deep breath and relax lol sio kwa povu hilo
 
Haha embu tulia ujumbe umefika,take a deep breath and relax lol sio kwa povu hilo
Do you ever question your government..huku kenya atakam unasupport uhuru kuna mambo ambayo lazma uwe makini..ndo maana kila siku utaskia masiri zinafichuliwa..uko na hakaki kwamba mungu wenyu magufuli ni malaika...ye ni binadamu kama wewe..na we ndo umemwajiri kazi...ask about health..education .living conditions..infrastructure na muache kudanganya kama kuku kutupiwa mahindi....
 
Back
Top Bottom