oh really?! would you say the same about your 'moda', sistas & aunties?
Yapo mengi tu. Over 20flrs.Nichumu Nibebike kuna jengo jipya linalojengwa Dar kwa sasa ama mshafikia malengo yenu ya 21Century?
tuusan siku utafika namanga hizi ndio nyumba utaona 150 kms before uingie nairobi cbd..........toka huko ldc uone how serious countries rollkenyans getting richer and richer by the day
View attachment 833565
kumbe walishamaliza kujenga hzi apartments...looking dope...last time i saw them one unit was completehayo maneno huambiwa watoto wadogo walio shuleni,ni ujinga kwa mtu mzima kuamini kwamba raisi huchaguliwa kwa kura..Rais huchaguliwa na wananchi kwa kupitia njia ya kura. Kura yako ndio itakayompa kazi ya kukuhudumia.
i get your point. 😀😀😀hayo maneno huambiwa watoto wadogo walio shuleni,ni ujinga kwa mtu mzima kuamini kwamba raisi huchaguliwa kwa kura..
duniani kote hakuna raisi huchaguliwa kwa kura ndugu yaani,take a time to learn!
fafanua zaidi mkuu...Hana mipango amaendesha nchi kama mkokoteni wa punda.
unataka randers au watu wakiwa site??Nichumu Nibebike kuna jengo jipya linalojengwa Dar kwa sasa ama mshafikia malengo yenu ya 21Century?