Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
Hao wanaoishi slums wakija TZ automatically wanaingia kikundi cha middle class![]()
kweli una akili ya kuku........
Hao wanaoishi slums wakija TZ automatically wanaingia kikundi cha middle class![]()
kweli una akili ya kuku........
waje waingie middle class...........unadhani maisha mazuri yanakuja kirahisi rahisi pasipo kupambana eehEconomy ya Kibera pekee apana cheza nayo. Hawa ni watu matajiri chini ya maji. Wakija TZ automatically wanaingia kikundi cha middle class, ndugu

huyo jamaa katokelezea kama mkora.......octopizzo kibakaHajui kwahizo hizo Mabati ndio Great things come from...e.g Obama & Octo from Gheto to states![]()
![]()
KENYA NI INCHI YA MIUJIZA SANA I LOVE BEING KENYAN...
Just as the Origin of the Word Kenya -(Gods Resting Place) we set tha pace
-M pesa kenya
-Sport pesa kenya
-Lupita nyongo kenya
-Obama kenya
-Wanyama kenya
etc..Great things Come from kenya bana Tz labdo Ubongolala ndio Mshawahi produce.View attachment 812244View attachment 812245View attachment 812246View attachment 812247View attachment 812248View attachment 812249
huyo ni zero utindio wa ubongo unamsumbuasisi tunajenga flyover panopobidi kujengwa na sio tujenge flyover wakat barabara zinazozunguka mijini zinatosha alaf nilikupa hii video itazame vzr ujifunze kitu😀😀
huku bongo watu wana issue zao,tukikuona mwanaume unauliza kazi anayofanya mwanaume mwenzio,tunaweza tukadhani huenda we shoga!ni mademu tu ndo wenye tabia za kuuliza kazi wanazofanya wanaume,be careful!!
ulichomwambia ni kweli kabisa......ila anaweza akawa demu mwambie akucheck DM![]()
![]()
![]()
kweli una akili ya kuku........
Jana nimeona picha ya interchange ya kurasini kwa juu, asee kama ulaya. Nikiziona tena ntazichukua niweke humu. Bongo hatari sana.Kulingana na baadhi ya wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Dar wale wa Nairobi wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema hakipo na wao vilevile. Kama kipo kwenye plan wanaweza kuleta au sisi tunaweza kuleta kwaajili ya kujibu.
1. Master Plan of the city
2. Current View of the city
3. Ongoing Projects
4. Future Projects proposed
5. Culture and Life style
6. Food availability
7. Entertainment and Funny Places
8. Places to visit
9. Transport system (Private and Public)
10. Markets and Shopping malls
11. Hotels
12. Education centers
13. Health centers
14. Telecommunication and Data centers
15. Information Technologies and Innovation
Ndugu Jay456watt kutoka Nairobi kama ulivyo dai sasa thread inaanza.
Welcome to the battle.
haijui siasa huyo......ni lini alisema atatawala milele wewe kunguru.embu kasikilize ukiwa umekula.
Naweza tengeneza bar chat zangu pia, mnaoverate sana hako kamjiActually this is how Nairobi is ahead of East African CitiesView attachment 812327
Karakata, kipawa na manzese ziko wapi hapa? Nielekeze
hapo manzese haipo.............Karakata, kipawa na manzese ziko wapi hapa? Nielekeze
Aliyekukataza usitengeneze ni nani?Naweza tengeneza bar chat zangu pia, mnaoverate sana hako kamji
Hapo ni suburbs? Panakaa pazurihapo manzese haipo.............

ndiyo chief.......tena hapo nipakawaida sana.........sema hatuna aerial view picha za maeneo mengi sana......na hilo eneo ukisogea kulia kushoto bado nyumba zipo sema kuipata picha ya aerial view ya pamoja ni mtihan lazima uwe juu sana na nyumba hizo zitakuwa hazionekani ni pakubwa sanaHapo ni suburbs? Panakaa pazuri![]()
Wewe ni fala sana. So you expected me to just remain with you here overnight to argue about useless things? I have a lot of things to do my friend. On the other hand, ndo hizo government hospitals in Kisumuknock out unataka kushindsna na arusha kwa hospital hii😀😀😀😀😀 kisumu
View attachment 812274 View attachment 812275
Nguzo karibu itaanguka
Karikaoo ni downtownwanakwambia karaikoo ni CBD, mara soko, mara surbarb.... ukimbana sana, anageuza lugha na kusema juu ni surbarb, chini ni CBD + soko la kuuzia samaki na vitunguu na nyanya..