Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Actually this is how Nairobi is ahead of East African Cities
tapatalk_1531899850183.jpeg
 
hakuna mtanzania anaeona unyanyasaji tena tunafurahia kuona CCM leo inaheshima africa mpaka duniani na inatuletea maendeleo kulingana na wakati na imedumisha amani na kuondoa ukabila.... nakupenda CCM
Bagamoyo since 2015 😀😀😀
african-ports-show-v2-21-638.jpg
 
na ndo maana mnalilia EAC ifungue mipaka muwe mnakuja bongo free!!!ndio,maisha ya tz ni mazuri sana,huwezi kukuta mtu anaishi kwenye mabanda,hayo mabanda huku tunafugia nguruwe by the way,amini nakwambia hata wewe ukiamua kutoka hapo kayole slums na kuja huku bongo,maisha yako yatabadilika!!lakini ukiendelea kusota hapo nairobi,u won't taste how a good life is,utaishi kwa shida hadi yesu arudi,Nairobi ina wenyewe...!not inclusive at all,what a fucking city!!
Maisha yangekuwa mazuri TZ basi wale omba omba wenu hawangetujazia barabara za mitaa na miji zetu na bakuli mikononi wakiomba pesa. Siku hizi wametapakaa kila mahali, sio Nairobi pekee
 
Maisha yangekuwa mazuri TZ basi wale omba omba wenu hawangetujazia barabara za mitaa na miji zetu na bakuli mikononi wakiomba pesa. Siku hizi wametapakaa kila mahali, sio Nairobi pekee[/QUO
Ombaomba wa Tanzania wanafanya nini KENYA? kenya ni shamba la bibi? Kama ni watanzania wapelekeni ubalozi wa TANZANIA, NINACHOFAHAMU HAO NI SEHEMU YA WAKENYA MASIKINI SANA WALE WA KIBERA
 
halafu ukitajiwa brt hapa utadhani ni kitu ya maana sana...kumbe jina tu. Brt ya kupeleka watu kwenye changaduo, aka dream houses. Ona vile hiyo sehemu ilivyo pabaya
Hizo naskia kule Dar zinaitwa SUBURBS sio slums wala informal settlements
 
Mwenzio amekuwekea picha nzito nzito za Kisumu ,hata picha za night sky (usiku) ,lakini wewe kwa sababu ya shida fulani ya ubongo, una ignore hizo picha. Unajifanya hujaziona. Halafu unapost picha ambazo wewe mwenyewe ungependa kuziona. Eti picha za Kisumu ambazo wewe ungependa kuona ni zile za bodaboda pekee. Haya basi baki hapo na fikira zako. Ukionesha mtu ukweli lakini mtu huyo akatae kukusikiliza, basi huna budi ila kumpa kisogo na kuenda zako. Wewe umeona ukweli lakini umekataa kupevuka.
 
a single person owns a land that could be enough for a quarter population of whole country..!!arable land owned by white settlers,then,they grows the flowers,meanwhile the northern Kenyans die hungry..
One hell of a crap story infact In the whole of Western Kenya & Nothern Rift valley Hakuna Shamba ya Uhuru,Moi,Wala Kenyatta Central kenya is a very portion on land Compared to the whole of kenya..let me analyse for you large farms in kenya plus their ownerships..
1. Delamare- Lord Delamare
2. Kabarack- Moi 10k acres
3. Thika pineapple 120k acres-Govt.
4. Flower Farm Naivasha- Govt
5. Gichea farm-Uhuru kenyatta 20k acres"Gatundu"

- Haya niambie sasa kama Gatundu ni Kenya mzima infact Moi ako na land mingi kuliko kenyatta and none of them own any part of the vast western & far Eastern kenya so Next time Come with statistics sio kuropokwa hapa Kenya ni ya Kenyatta...hii kenya sio ya mamaako bana
 
wasikilize namibia hao 😀😀😀😀

Arusha is Only recognized as your administration Center nothing else infact it is your capital & can you Compare it to Nairobi?? Hell no...Mombasa?? Hell no....Kisumu?? dont even think about it....Nakuru?? Far much Developed....Eldoret??...my be yes may be Not....Kakamega??...yuh Comparable
 
halafu ukitajiwa brt hapa utadhani ni kitu ya maana sana...kumbe jina tu. Brt ya kupeleka watu kwenye changaduo, aka dream houses. Ona vile hiyo sehemu ilivyo pabaya
Hebu imagine how That place looked like before BRT...i doubt kama ilikuwa na Lami
 
ichoboi fanya mpango utume ile aerial view ya Dar pale town .......maana city yao ya nairobi imepwaya bado ni local sana

hii ni LONDON....
UK_Londen_20040713_18891.JPG
 
Back
Top Bottom