Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,112
- 10,550
Not yet, mapicha yasikudanganye, tembea pole pole ufike, ushuhudie. Muna mambo machache mumepiga hatua, BRT, na stadiums.., Dar iko tu pana sehemu kubwa ni maisha duni, not city standards, am not talking of slums, average Dar residents ni kama wa mashinani!! Dar na Mombasa munafanana!Kiukwel Nairobi iliongoza kwa kipindi chake ila kwa sasa mmh tafadhalin kubalin tu kua sasa Daresalaam sio ligi yenu asee. Najua ukwel mchungu ila hatuna budi kuwapungia mikono ya kwaheriiiiiii. Bravo My Country Tanzania.