Mbona hujawahi tuwekea hizi picha at least tuone dar yote ni slum😀😀😀😀Nairobi
![]()
![]()
na hapa ni wapi??😀😀😀😀unapajua
hii ni picha bila make up unapajua
View attachment 810659 View attachment 810660
Dont worry..jipe miaka ka 10 hivi mufike leagueView attachment 810771
Who said? Kenya ni Africa, what we do ni kuchallenge your citizens' thinking about Kenya. No one denies our shortcomings, lakini haziko the way they are exaggerated in several writings., ndio maana wale watz wenye uwezo wa kutembea mahali pote Nairobi wanakubali Nairobi bila ubishi si wale wanafika river road, mahali mabasi ya kutoka Dar hupakia, na wanaishi sehemu kulingana na mfuko yake., the rich Tanzanians, nawapenda sana, wanafika na V8 ama Range, very reasonable. Wanasema maoni yao open and clear, wako na uwezo wa kuzunguka, hawategemei mtandao.
jitahidini tano tena mkipewa mutafika sehemu dar imefika😛😛😛😛Magufuli atawafikisha tu., ako na nia, njia lazima iwepo! come baby come..., View attachment 810800View attachment 810801View attachment 810802View attachment 810803View attachment 810804View attachment 810805
na hapa kufika tuwape miaka mingap😀😀Dont worry..jipe miaka ka 10 hivi mufike leagueView attachment 810771
ungechukua na picha za nigeria pia useme dar mbona hzo tu pekeakr😀😀😀😀
no wonder mzungu hakukosea
hehhehe mukaze kamba kweli kweli😀😀😀Dont worry..jipe miaka ka 10 hivi mufike leagueView attachment 810771