Sikuhiz unajionyesha namna ulivyo kiaziView attachment 802938 View attachment 802939 Upper hill ya 2018View attachment 802941 View attachment 802939 View attachment 802940 Kijitonyama ya 2018😳😳😳😳😀😀😀😀😀 Mogadishu 🙁😀😀View attachment 802941
Nidugu yako Icheoboy natania lakini nimekua nikiamini kijitonyama ni cbd huu muda wote kumbe ni majengo kadhaa yamejengwa pembeni mwa barabara.Sikuhiz unajionyesha namna ulivyo kiazi
Upande wa juu ni mikocheni alafu imepakana na mwananyamala ambayo haikupimwa...Ni sehemu inayobadilika Majengo ya ofisi kadhaa yamejengwa yaweza kuja kua transformed na kufaa kua CBD later kama wakaazi watakubali kuuza maeneoNidugu yako Icheoboy natania lakini nimekua nikiamini kijitonyama ni cbd huu muda wote kumbe ni majengo kadhaa yamejengwa pembeni mwa barabara.
Huko barabara za lami ni nadra sana only 40km kutoka CBD 😀😀😀
UGANDA pia usipochunga wao pia watakuja nunua nchi yenu.mafuta 2000barrels per day inunue nchi ???
wakat uganda wanatoa 216,000barrels per day na hawazungumzi wamekaa kimya😀😀😀😀😀
wakati tanzania ina gas ambayo imegundulika tu ni 57trillion cubic feet achilia mbali ambayo haijagundulika😛😛😛😛
wewe mjinga sana!!wapi unga???? wapi sukari???😀😀😀😀😀



Hii hapa ndio Dar hawataki kukubali!View attachment 802938 View attachment 802939 Upper hill ya 2018View attachment 802941 View attachment 802939 View attachment 802940 Kijitonyama ya 2018😳😳😳😳😀😀😀😀😀 Mogadishu 🙁😀😀View attachment 802941
MKenya akifikiria.. Hufikiria RIGHT more than 78% of the time.Nafikiri saizi picha zote za NBO zilizomo humu ndani zimewapa just a taste of what it feels like to be NAIROBI (jiji kuu)
Nitawasihi waKenya hamna haja ya kuongeza zingine. Tuwaache Hawa warudie zao wao wenyewe wachoke na kijiji chao.
Tukiongeza picha zingine za NBO ama kurudia mapicha itakua ni kushusha hadhi ya NBO na itafanya jiji kuu kupoteza ladha kama kijiji chao.
Going forward ni kuDeconstruct ujinga wowote utakao letwa hapa, na kulisha Hawa watu FACTS tuu
Biashara zilizojaa na kuenea NBO na hata MOMBASA (Mombasa Hiii! We Love you!)
sasa mbona gor mahia hana hata banda la choo miaka 50 no developments😀😀😀😀Biashara zilizojaa na kuenea NBO na hata MOMBASA (Mombasa Hiii! We Love you!)
Apana ringia mKenya.
😀😀😀😀😀😀😀😀😀Huko barabara za lami ni nadra sana only 40km kutoka CBD 😀😀😀
Hebu cheki 60 km from NRB
![]()
![]()
![]()
huyo utasumbua kichwa chako bure 😀😀😀😀😀Upande wa juu ni mikocheni alafu imepakana na mwananyamala ambayo haikupimwa...Ni sehemu inayobadilika Majengo ya ofisi kadhaa yamejengwa yaweza kuja kua transformed na kufaa kua CBD later kama wakaazi watakubali kuuza maeneo


ukhekhe wanapitisha bomba huku litaajiri watanzania elfu 10 na litaingizia pesa tanzania kwa mwaka zaidi ya 1b usd😀😀😀😀😀😀😀😀UGANDA pia usipochunga wao pia watakuja nunua nchi yenu.
Tahadhari sana
Put some RESPECT on your elders!
na watu wanapokufa na njaa kila mwaka wanakosa vp chakula??😀😀😀😀😀😀😀wewe mjinga sana!!
KENYA itakosaje UNGA na SUKARI??
uko vizuri wewe!
Business men are trying to make a kill!
Wanatafuta pesa na WATAZIPATA hizo pesa wakenya wapende wasipende!!
Hii akili Mtanzania anaweza kua nayo kweli??
WaKenya watu hatari. Watu wa ajabu. Watu ambao on average ni very clever kuliko the average African/tanzanian
UMEME! DANGER!!![]()
Nafikiri mmeamka vizuri.Leo imekua siku nzuri sana. Watanzania nimewaweza na kuwapiga kwenye game yao
Ninafuraha sana na naomba tuendelee vivi hivi
Mtakuja kukubali. Acceptance huja baada ya denial.
Laleni unono![]()
Hiyo Gas KENYA itanunua kutoka kwenu na tuConnect nyumba nyingi iwezakanavyo wakenya wafurahie maisha.mafuta 2000barrels per day inunue nchi ???
wakat uganda wanatoa 216,000barrels per day na hawazungumzi wamekaa kimya😀😀😀😀😀
wakati tanzania ina gas ambayo imegundulika tu ni 57trillion cubic feet achilia mbali ambayo haijagundulika😛😛😛😛
Huko barabara za lami ni nadra sana only 40km kutoka CBD 😀😀😀
Hebu cheki 60 km from NRB
![]()
![]()
![]()