Ah! Kumbe kwelI Kenya kuna forum ilifutwa!Mtoto ni wewe na mamako...
Mashada was spreading hate amongst tribes.. personally most Kenyans were for its closure..
JF does not devide Tanzanians it actually brings them closer.
Ilikuaje UoN ikajengwa CBDBeautiful.
University of Nairobi - my alma mater
![]()
Mahitaji ya umeme kwa sasa Tz ni 1300MW na nchi inatoa 1500MW lakini dira yetu kufikia 2020 ni kutoa 5000MWHizi ma Vinyerezi zote Sijawai sikia. Kwa hivyo ata bado hamjafukua umeme.. Sijui stiglers gorge ziko wapi? Ziko na umeme hazina?
Tanzania mnataka treni za umeme huku Electricity penetration countrywide haijapita 25% ??? Mkifikiria vizuuuri gani muhimu?
Ndio maana niliwaambia Kenya kuna taratibu. Electricity penetration countrywide iko around 69% ikielekea 75% lakini wahandisi wa SGR waliona busara treni zitumie diesel for now, tukishapata umeme wa kutosha basi tunaweza ku upgrade SGR ikue electric
Treni zenu zitatumia umeme gani? Ama mnaongelea vision 2055?
World Bank msema kweli.. Tanzania 32%ww nadhani unafkiri hii ni ile tz ya 90s heheh eti tz electricity haija penetrate 25? we mzima kweli wewe??
😀😀😀😀 au mulijua tupo tu tumekaa tunawaangalia
access to electricity tanzania is over 77% my friend hakuna maneno ya porojo hapa na eka akilini miradi yote niliokutajia ujenzi unaenda kwa kasi sana
sisi hua hatumbii kufanya kitu pasipokua na akili kama nyie munaenda ingia deni kubwa munaletewa vyuma chakavu sisi hatuendi hvo kila jambo linafanyiwa tathmini na mradi wa electric modern train ikikamilika ndio itakua modern electric train in africa najua sana unaumia ila vumilia tu hakuna namna
Mbona sioni street level? Ama mnaficha? Onyesha street levels pia..namna gani?
haha aisee. Lakini waonaje?dick measuring contest is back in business😀😀
huyo anafkiri bado ni ile tz ya 90s😀😀😀Mahitaji ya umeme kwa sasa Tz ni 1300MW na nchi inatoa 1500MW lakini dira yetu kufikia 2020 ni kutoa 5000MW
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app