ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
ukheukhe😀😀😀 dharau zenu nyie ndizo ziliwafkisha kwenye utumwa na ujingaMwambie nyumba kama hii nairobi utakondisha 6000-10000 kwa mwezi na si kitu ya ajabu
ukheukhe😀😀😀 dharau zenu nyie ndizo ziliwafkisha kwenye utumwa na ujingaMwambie nyumba kama hii nairobi utakondisha 6000-10000 kwa mwezi na si kitu ya ajabu
uhahahha wakat tanzania kuna hotel ya 10000 usd per night 😀😀😀😀😀 ukiniletea hotel ya 10000 usd per night kenya nzima nitag😛😛😛Nairobi kulipa rent $10000 si ajabu my friend
itafute na uipate sasa...Jua iyo 2M yenyu ni Ksh 100,000/=
endelea kutoa povu, hapa si story za vijiweni.tafuta nyumba za adabu ulete hapa nikunyooshe vzr😀😀😀😀😀😀 usiniletee upuuzi huo
ukheukeukhe😀😀😀😀😀Mbona nisiwadharau wakati mnaleta nyumba za ksh75,000 kisha mnataka battle na Nairobi? Hizo ni nyumba za middle class Nairobi nashangaa huko kwenu ni za matajiri wa masaki na oysterbay...
Umejua nikiuza kiatu changu naezakufeed for 3months😀😀😀itafute na uipate sasa...
umekosa ushahidi heheh unataka kua kama mwenzio😀😀😀😀😀 mzee wa chochaendelea kutoa povu, hapa si story za vijiweni.
View attachment 799103
View attachment 799105
View attachment 799106
😀😀😀😀😀 hio kazi unayo wewe sifa kibao munaishia kama huyu mwenzioUmejua nikiuza kiatu changu naezakufeed for 3months😀😀😀
ndiyo hivyo ......ni muda tu watakuja kujifunza vingi tu kama ilivyo kwny BRT itakuja ingine somo likingine na lingine mwishowe watakuwa na a batch of homeworks
nimekosa ushahidi wa nini?? yaani butwaa imekupiga hauamini hizo nyumba zipo Nairobi, pole aisee walikudanganya akina geza....
Apo siwez kukubaliana nawe...Tuusan, you are one of the few Tanzanians I respect on this forum ila tuwacha ushabiki za kijinga. Narudia kwamba Dar nzima gakuna estate inaweza linganishwa na zile mitaa nilitaja hapo awali. Sasa kama government officials, ambassadors na CEOs wanaishi oysterbay na masaki so what? of course these two are the best estates in dar so do you expect them to live elsewhere? hata kule Bujumbura na Mogadishu kuna mitaa where EOs and ministers live but are they better than those in Dar? Dar nzina hakuna mtaa inawesha shinda za Nairobi tuwache ushabiki
😀😀😀😀😀 Wah ati hoteli? Na hio sio nyumba moja ni nyumba mbili yaani runda ni kama Beverly hills aisee😀😀😀 Sawa nenda skyscrapercity alafu uende kwa uzi wa "genuine wealthy neighborhood in africa" utazipata izi nyumba uko na zingine mingi ukifuata uzi😀😀😀😀chakwanza hio ni hoteli cha pili leta ushahidi kua iko nairobi😀😀😀😀😀😀
ni kichaa sana wakati hiyo pesa maisha yake yote hajawahi kuishika ni anaishia kuisikia tu kwa tv news kuwa kuna fisadi kalahuyo mzee wa 10lanes😀😀😀😀

khekhekehekhe leo kutamu humu😀😀😀😀😀 Wah ati hoteli? Na hio sio nyumba moja ni nyumba mbili yaani runda ni kama Beverly hills aisee😀😀😀 Sawa nenda skyscrapercity alafu uende kwa uzi wa "genuine wealthy neighborhood in africa" utazipata izi nyumba uko na zingine mingi ukifuata uzi😀😀😀😀
Number one mtaa wowote uko na apartment usijaribu kuleta hapa, ati ambassadors wanaishi uku yaani?
najua hata 20mnth unaweza kufeedUmejua nikiuza kiatu changu naezakufeed for 3months😀😀😀

Kempinsky vilarosa presdential suite ksh 1.5m ama $15000khekhekehekhe leo kutamu humu
siku ukiniletea hotel ya 10000 usd per night kenya nzima unitag😀😀😀😀😀😀