YoungD
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 1,275
- 1,332
leta link hapa nikunyooshe😀😀😀😀
Booking Search Room Availability
sasa wewe leta evidence kuwa dar kuna hoteli ina room ya $10,000 per night sababu kwa nyumba tumekulambisha sakafu.
leta link hapa nikunyooshe😀😀😀😀
Atleast umeanza kuonyesha nyumba
If that's true, then how come (US) State Universities accept the equivalence of 33 college credits, transferred directly from NECTA for 'A' levels science students but they don't do the same to their Kenyan counterpart.We already know that Tanzania education system is shit but holy mother of god.....dude, you can't count?
Yet you people wonder why kenyans call yall bongo-lala
do u knw the meaning of presidential suite hehhe yani ww kilaza kweli kweli25000 usdView attachment 799128
Na Runda kuna za Ksh 1.5M So,Alafu tuliza wenge izo nyumba ziko mikocheni usipagawe game bado inaendelea, Masaki huoni nyumba za $3000>?
Unabishana kijinga nyumba mingi za kitisuru, runda, muthaiga karen na lower kabete range ya rent ni kuanzia $4000-$15000 na utapata izo nyumba zimejaa tenants wakenya alafu we utatuletea vijipartment ni tajiri mgani wa kweli anaeza ishi aparments ?Alafu tuliza wenge izo nyumba ziko mikocheni usipagawe game bado inaendelea, Masaki huoni nyumba za $3000>?
do u think ur so clever😀😀😀😀View attachment 799129
View attachment 799130
Booking Search Room Availability
sasa wewe leta evidence kuwa dar kuna hoteli ina room ya $10,000 per night sababu kwa nyumba tumekulambisha sakafu.
Waongee tena
10000 usdUnabishana kijinga nyumba mingi za kitisuru, runda, muthaiga karen na lower kabete range ya rent ni kuanzia $4000-$15000 na utapata izo nyumba zimejaa tenants wakenya alafu we utatuletea vijipartment ni tajiri mgani wa kweli anaeza ishi aparments ?
Wewe ni wakuhurumiwa wewe kila kitu kubisha, tuletee iyo hoteli ya dar ya 10,000usd ama unyamazedo u think ur so clever😀😀😀😀
unaniletea villa rosa bei za nje unasema nairobi hehehheheh nimecheka sana aisee sijapata kuona mkenya fala kama wewe
link uliotuma wewe hakuna ushahidi wowote
Sasa unangoja upelekwe shule ya photography na magufuli uweze kupiga Picha? wacha ujinga piga Picha uweke hapa brary fekin.hakuna kitu kama hicho sehemu za watu wenye kipato cha chini ndiyo mara nyingi huwa hivyo......ila sehemu hizo hizo. pia wapo wanaojiweza .......
kikubwa hatuna picha za maeneo mengi sana ningrkuwa photographer ningeifanya hiyo kazi ili niweze kuwaonyesha aerial view ya maeneo mengine
https://www.forbes.com/sites/annabe...land-tanzanias-10000-a-night-private-retreat/Unabishana kijinga nyumba mingi za kitisuru, runda, muthaiga karen na lower kabete range ya rent ni kuanzia $4000-$15000 na utapata izo nyumba zimejaa tenants wakenya alafu we utatuletea vijipartment ni tajiri mgani wa kweli anaeza ishi aparments ?
Mbezi beach ziko nyumba $ 9000 tatizo lenu mnadhan Dunia inaishia apo 254Na Runda kuna za Ksh 1.5M So,
$3000= Ksh 300,000 and $15000= Ksh 1.5
https://www.forbes.com/sites/annabe...land-tanzanias-10000-a-night-private-retreat/Wewe ni wakuhurumiwa wewe kila kitu kubisha, tuletee iyo hoteli ya dar ya 10,000usd ama unyamaze
hawa hua wanadharau sana alaf wanajiina wako mbali kumbe ushuzi mtupu😀😛😛😀Mbezi beach ziko nyumba $ 9000 tatizo lenu mnadhan Dunia inaishia apo 254
Nilidhani ni dar kumbe ni uko island kempinsky 25000usd kwa ivo bado haina mpinzani huu ukanda
wewe ni mjinga sana niletee link kua kuna hoteli yoyote kenya nzima price ni 10000 usd per night😀😀😀Wewe ni wakuhurumiwa wewe kila kitu kubisha, tuletee iyo hoteli ya dar ya 10,000usd ama unyamaze
Wangejua kwamba kutafuta apartments kule Muthaiga, Runda au karen ni sawa na kutafuta sukari ndani ya chai hawangeleta hizo picha hapaNumber one mtaa wowote uko na apartment usijaribu kuleta hapa, ati ambassadors wanaishi uku yaani?