ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
leta ushahidi kua kuna nyumba nairobi rent ni ks 400,000 hapa 😀😀😀😀😀😀😀Ona sasa ulivyo mwehu!! unanionyesha nyumba za Tsh1.5 million which is Ksh75,000!! or you thought quoting them in dollars woukd scare me? $1,500 is equivalent to Ksh150,000. Nyumba za Ksh150,000 zimejaa westlands, kuleleshwa na kilimani. Niliuliza nyumba inalipishwa Ksh
400,000 (or Tsh8,000,00). Yani Dar ni mtoto sana kwa Nairobi. Alafu zile za Tsh 1.5mln ulileta ni sawa na Ksh75,000. Hiyo ni rent kule lan'ata, Syokimau, South C na Loresho