Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

uhahahha wakat tanzania kuna hotel ya 10000 usd per night 😀😀😀😀😀 ukiniletea hotel ya 10000 usd per night kenya nzima nitag😛😛😛
Naona ngoma ishakuwa nzito kwako...tunajadili kuhusu nyumba za kurent wewe usharuka hadi kwa story za hoteli! Mambo na hoteli tulimazina juzi tu na sisi wote tunakua nani alikuwa mshindi. Wacha kuchange mada, kwa sahii tunajadili nyumba, sio hoteli. sawa mwarabu?
 
Screenshot_2018-06-10-00-21-10-70.png
h
uhahahha wakat tanzania kuna hotel ya 10000 usd per night 😀😀😀😀😀 ukiniletea hotel ya 10000 usd per night kenya nzima nitag😛😛😛
 
Naona ngoma ishakuwa nzito kwako...tunajadili kuhusu nyumba za kurent wewe usharuka hadi kwa story za hoteli! Mambo na hoteli tulimazina juzi tu na sisi wote tunakua nani alikuwa mshindi. Wacha kuchange mada, kwa sahii tunajadili nyumba, sio hoteli. sawa mwarabu?
leo mumechezea kifimbo cheza humu ndani😀😀
nimecheka sana leo watu wajinga mumejaa upuuzi
 
Hizo ni nyumba na kununua, sio za kupangisha. Mbona uko na haraka mdogo? Huku kwa nyumba za kununua pia tunakuja, usiwe na haraka. bado tuko kwa rentals
uhehheeh soma vzr for rent😀😀😀😀 nyumba iuzwe 8000usd unaakili tumamu wewe
 
75,000 ni rent ya nyumba kule Syokimau lakini Dar, hiyo pesa unapata nayo nyumba kule masaki...halafu wanapiga kelele vile Masaki sijui oysterbay ni mitaa ya nguvu kuliko yoyote ile Nairobi. hawa wabongo wanacekesha kweli....Nimemwekea ya Ksh800,000 ngoha niskie vile atasema
Alafu tuliza wenge izo nyumba ziko mikocheni usipagawe game bado inaendelea, Masaki huoni nyumba za $3000>?
 
Back
Top Bottom