Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nilikuwa nakuchimba tu pole pole...Ndugu yangu huku kuna hadi za Ksh800,000 per month...Hizo ni 26 million za kibongo...za ksh400,000 nazo zimejaa, sio hata moja au mbili. Soma hii link hapa
Property for Rent in Muthaiga Area, Muthaiga
Jua iyo 2M yenyu ni Ksh 100,000/=
70AB4136-B070-4064-8CC6-07167C17F063.jpeg
 
This one is Ksh 75000
75,000 ni rent ya nyumba kule Syokimau lakini Dar, hiyo pesa unapata nayo nyumba kule masaki...halafu wanapiga kelele vile Masaki sijui oysterbay ni mitaa ya nguvu kuliko yoyote ile Nairobi. hawa wabongo wanacekesha kweli....Nimemwekea ya Ksh800,000 ngoha niskie vile atasema
 
75,000 ni rent ya nyumba kule Syokimau lakini Dar, hiyo pesa unapata nayo nyumba kule masaki...halafu wanapiga kelele vile Masaki sijui oysterbay ni mitaa ya nguvu kuliko yoyote ile Nairobi. hawa wabongo wanacekesha kweli....Nimemwekea ya Ksh800,000 ngoha niskie vile atasema
ukhekhe 😀😀😀😀😀😀
tatizo lako wewe dharau zimekujaa sana ndio maana kila kitu unaonekana mjinga
 
Yaweza kua ghali 4nothing...uliwahi faham O'bay nyumba ni pesa ngap?All the gov officials ambassadors companies CEO kutoka mataifa yote huishi uko Au Masaki sasa ww unaongea nn..
Niletee nyumba kama baadhi ya hizi ambazo ziko runda alafu twende kazi si mdomo tu
tapatalk_1528576423892.jpeg
tapatalk_1528576411524.jpeg
tapatalk_1528576429940.jpeg
tapatalk_1528576414161.jpeg
tapatalk_1528576449198.jpeg
tapatalk_1528576446548.jpeg
tapatalk_1528576625718.jpeg
tapatalk_1528576633026.jpeg
tapatalk_1528576457872.jpeg
tapatalk_1528576625718.jpeg
 

Attachments

  • tapatalk_1528576414161.jpeg
    tapatalk_1528576414161.jpeg
    68.4 KB · Views: 29
ukhekhe 😀😀😀😀😀😀
tatizo lako wewe dharau zimekujaa sana ndio maana kila kitu unaonekana mjinga
Mbona nisiwadharau wakati mnaleta nyumba za ksh75,000 kisha mnataka battle na Nairobi? Hizo ni nyumba za middle class Nairobi nashangaa huko kwenu ni za matajiri wa masaki na oysterbay...
 
Yaweza kua ghali 4nothing...uliwahi faham O'bay nyumba ni pesa ngap?All the gov officials ambassadors companies CEO kutoka mataifa yote huishi uko Au Masaki sasa ww unaongea nn..
Nairobi kulipa rent $10000 si ajabu my friend
 
Back
Top Bottom