Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
Ataombaje link wakati brt ishamuuza?Leo Ichoboy ajaomba link😀😀😀😀
I guese these are houses for 98% employed. Ichoboy ebu tuonyeshe za 2% unemployed😀
Ataombaje link wakati brt ishamuuza?Leo Ichoboy ajaomba link😀😀😀😀
I guese these are houses for 98% employed. Ichoboy ebu tuonyeshe za 2% unemployed😀
duuuh.. .!!!!!ubongo wako umejaa muhogo
ukiambiwa dar ni kibwa uelewe.hiyo iko na jumla ya 21km+ na ni 1/3 ya project yote,inatoka upande mmoja tu wa jiji(kimara/morocco).Kumbe hii brt is just one line with two short "branches"!!! Na vile wanaionyesha hapa utafikiri it has reached every corner of Dar
Cha kushangaza ni kwamba kila picha ya Dar ikiletwa hapa the only thing nyinyi husema ni mwama ya maeneo ya watu wa kipato cha chini. Kwani Dar nzima kila mtu ni wa kipato cha chini kwa sababu maeneo mengi ya Dar yanafana vivyo hivyohauna street hizo.....au kipofu,,,,tena na isitoshe hayo ni maeneo wanayoishi watu wa hali ya chini ila kupo poa,,,,lete sehemu yenu wanayoishi watu wakipato cha chini
Hiyo sehemu ni bomba kweli, at least according to Tanzanian standards. Hata sisi pia tunaona ilivyo bomba hehendiyo maana tunawaambiaga sehemu kama ni dar huwa tunakubali hatupingi ila kama siyo dar lazima tuwapinge...
kingine hiyo sehemu ni bomba tofauti na unavyofikiria......
unapotuma picha ya sehemu hakikisha tu,una uhakika hamna tatizo.Ataombaje link wakati brt ishamuuza?
,hatuendi namna hiyo.Mbona umesahau kututajia kuwa inapitia ndani ya slums? Au hiyo sio kitu muhimu kujua? Then u are talking of a 21 km 4-lane road wakati Thika rd ni 50 kms 12 lanes!!ukiambiwa dar ni kibwa uelewe.hiyo iko na jumla ya 21km+ na ni 1/3 ya project yote,inatoka upande mmoja tu wa jiji(kimara/morocco).
bado sijakutajia mapato
bado sijataja idadi ya magari
sijataja idadi ya waajiriwa humo
sijataja idadi ya abiria kwa siku
siku ikifika 100% itakuwa ni ujinga kuitaja taja sehemu kama hizi.
Dar yote inafanana kama hiyo picha ya brt hapo juu so tuliketa picha za nyumba za bati zilizorundikana bila mpangilio mbona mnakataa sio dar? Coz dar is the only mega slum in EA with shanties (dream houses) everywhereunapotuma picha ya sehemu hakikisha tu,una uhakika hamna tatizo.
unatuma picha ukiulizwa hapa ni wapi??, unasema dar,leta uthibitisho unalia![]()
![]()
,hatuendi namna hiyo.
hapo ni dar maana brt iko dar pekee EA na KATI.
Kijana, najua unafabya haya yote sababu ya uzalendo ila jaribu kureason kidogo pia. Hakuna estate yoyote dar inaweza linganishwa na mtaa wa Karen, Nairobi. In fact hakuna estate yoyote Dar nzima unaweza linganisha na hizi mitaa za Nairobi: Karen, Muthauga, Runda, Muthangari, Spring Valley, Lavington, Kitisuru, Gigiri, et al. the list is endlessO'bay alone Ni kiwango cha kimataifa sio sehemu ya kulinganisha na zile estate zenu apo Karen
Talking of viwango vya kimataifa, enda Gigiri uone what international standards mean. Gigiri has arguably the highest number of expatriates in sub saharan Africa outside south Africa.kabisa,,,yaani hawana akili hawa raia wakikenya wanafikiri hiyo ni local area
hana akili huyo. ukimskia anavyoropokwa, utajua wazi ubongo umejaa uji wa muhogo 😀😀😀Kijana, najua unafabya haya yote sababu ya uzalendo ila jaribu kureason kidogo pia. Hakuna estate yoyote dar inaweza linganishwa na mtaa wa Karen, Nairobi. In fact hakuna estate yoyote Dar nzima unaweza linganisha na hizi mitaa za Nairobi: Karen, Muthauga, Runda, Muthangari, Spring Valley, Lavington, Kitisuru, Gigiri, et al. the list is endless
At least we had one of our iwn representing Africa. Nyinyi mnasaidiaje Africa? This guy is among the few FIFA referees from Africa who were going to officiate in the world cup...I now you danganyikans have a short nemory; Aden Marwa officiated even in the last world cup in Brazil....nyinyi endeleeni kupiga domoyaani wakenya ni wapuuzi sana ...yaani wanafikiri kombe la dunia ni ligi ya kenya wanayochezea kakamega yaani unakula rushwa kizembe .....![]()
![]()
![]()
sema siwalaumu hii yote inatokana na umaskini kinachofuata ni kufungiwa ajiandae kwa mashtaka
pitia video hapa jinsi mkenya alivyo mpuuzi
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Maafisa wa soka akiwemo Mkenya wanaswa wakipokea fedhaView attachment 798429
Hawa jamaa uzalendo Imewalemesha kabisa hawajabakisha akili ya kufikiria. Hata wana habari kweli rent ya nyumba Karen ni pesa ngapi? And do they know how much it costs to buy a piece of land in Karen?hana akili huyo. ukimskia anavyoropokwa, utajua wazi ubongo umejaa uji wa muhogo 😀😀😀
uahahha 😀😀😀 acha kulia lia wewe tatizo lako wewe ikweli haupendi na nkiambiwa ukweli munaona mumeonewa😛😛😛😛This nigga Ichoboy thinks we don't know what's happening in that shitty country of theirs. Anashinda hapa asubuhi hadi jioni akileta screenshots of negative news from Kenya thinking that danganyika is a small heaven where such things don't exist!! Inferiority complex is a very bad disease
akala rushwa hehhehe😀😀😀 state of corruptionAt least we had one of our iwn representing Africa. Nyinyi mnasaidiaje Africa? This guy is among the few FIFA referees from Africa who were going to officiate in the world cup...I now you danganyikans have a short nemory; Aden Marwa officiated even in the last world cup in Brazil....nyinyi endeleeni kupiga domo
Even Naks is well-planned than Dar is slum
leta karen hapa tukuletee nyumba za adabu alaf uone sasa kama utatoka humu ndani😀😀😀Hawa jamaa uzalendo Imewalemesha kabisa hawajabakisha akili ya kufikiria. Hata wana habari kweli rent ya nyumba Karen ni pesa ngapi? And do they know how much it costs to buy a piece of land in Karen?
moshi leo imezinyoosha nakuru na eldoret😀😀😀😀😀😀😀😀😀Even Naks is well-planned than Dar is slum
We ndo kiboko yao..nakusupport 100..Scholl the like of loosermatic and the rest uneducated modern city of slum dwellersEven Naks is well-planned than Dar is slum

All along, I have always liked one town in Tanzania and that has to be Arusha and I have said so many times on this forum. There's a lot of order in that town then it has so many green spaces unlike most towns in TZ. I also saw a few pictures of Moshi and I think am going to add to on my list of favourites from the land of ujamaa. Mwanza, in my very honest opinion, is very much overrated and has nothing to its "big" name.Moshi imetulia broView attachment 798444