Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dsm
Screenshot_2018-06-09-10-00-50-1.jpg
View attachment 798385
 
Lmao, cheki kwenye BRT hupeleka watu 😱
hauna street hizo.....au kipofu,,,,tena na isitoshe hayo ni maeneo wanayoishi watu wa hali ya chini ila kupo poa,,,,lete sehemu yenu wanayoishi watu wakipato cha chini
 
Leo Ichoboy ajaomba link😀😀😀😀
I guese these are houses for 98% employed. Ichoboy ebu tuonyeshe za 2% unemployed😀
ndiyo maana tunawaambiaga sehemu kama ni dar huwa tunakubali hatupingi ila kama siyo dar lazima tuwapinge...

kingine hiyo sehemu ni bomba tofauti na unavyofikiria......
 
Viwanda gani kama si vyerehani na kukamulia juisi ama hata kusukia nywele ni viwanda? Exxon amepotelea Msumbiji Dangote pia amekimbia Tanzagiza bila kusahau umeme wa 1300MW hata hautoshelezi kijiji cha Dar, Nyumba zenu ndefu hazina wapangaji sababu hela Watu hawana, FDI ya Kenya inaongoza Ukanda huu bila kusahau nyinyi ni LDC.
ukha ukaha ukaha maumivu makali sana umeyaonesha leo😀😀😀😀😀😀 wewe ndio unaepangisha hzo nyumba??😛😛😛😛 exxon alikua hataki win win situation sisi ufisadi hatutaki ukhakha dangote alikimbia kenya akaja tanzania kwasababu ya corruption😀😀😀 ameweka investment tanzania of more than 800m usd na sasa anajenga kiwanda kingine cha chokaa dodoma baby😛😛😛 umeme baby take 1750+ 240 kinyerezi two inakuja how much????

FDI baby raha kweli tanzania😀😀😀

Tanzania leads regional peers in foreign direct investment


magufuli wewe chuma 😛😀 kaza vzr baba
 
Viwanda gani kama si vyerehani na kukamulia juisi ama hata kusukia nywele ni viwanda? Exxon amepotelea Msumbiji Dangote pia amekimbia Tanzagiza bila kusahau umeme wa 1300MW hata hautoshelezi kijiji cha Dar, Nyumba zenu ndefu hazina wapangaji sababu hela Watu hawana, FDI ya Kenya inaongoza Ukanda huu bila kusahau nyinyi ni LDC.
umeandika kwa uchungu na hasira.

lakini hatuna kazi nawewe,kale githeli.
 
dogo punguza nchecheto nilihenya sana miaka hiyo acha nile jasho langu..
wanyakyusa wana msemo wao wanasema "life begins at 40" kwa hiyo na wewe usizubae tafuta hela,wekeza ili usije kuishi kwa shida katika utu uzima wako..
ndaga fijo......wakenya ni wapumbavu sana
 
yaani ni kama mtu katoka navyo huko hivyo vibanda katika kiroba kafika tu hapo kavimwaga..!!
nimejaribu kutathmin lakin sijapata jibu mpaka sasa hvi hawa watu wanamaisha magumu sijapata kuyaona maishani
 
Tunapowaambia kwamba Dar inakimbizana na Mombasa wanatokwa na povu kwa kuirudia Oyster bay ambayo ipo kwenye a 2km squared piece of land. In 10 years time Mombasa will have dwarfed Dar by eons.
ukhe ukhe mpaka udenda unakutoka 😀😀😀
dar kuifikia chukua nairobi+ mombasa+ kisumu+ kigali+ kampala l+ eldoret alaf uje
 
Tunapowaambia kwamba Dar inakimbizana na Mombasa wanatokwa na povu kwa kuirudia Oyster bay ambayo ipo kwenye a 2km squared piece of land. In 10 years time Mombasa will have dwarfed Dar by eons.
umepotea chief cooker

mombasa ni sawa na tanga,,tena tanga iko bomba sana zaidi ya mombasa
 
Tunapowaambia kwamba Dar inakimbizana na Mombasa wanatokwa na povu kwa kuirudia Oyster bay ambayo ipo kwenye a 2km squared piece of land. In 10 years time Mombasa will have dwarfed Dar by eons.
O'bay alone Ni kiwango cha kimataifa sio sehemu ya kulinganisha na zile estate zenu apo Karen
 
Back
Top Bottom