tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Case closed
Case closed
kabisa,,,yaani hawana akili hawa raia wakikenya wanafikiri hiyo ni local areaO'bay alone Ni kiwango cha kimataifa sio sehemu ya kulinganisha na zile estate zenu apo Karen
hiyo mombasa,sisi hatuna tabu nayo.Tunapowaambia kwamba Dar inakimbizana na Mombasa wanatokwa na povu kwa kuirudia Oyster bay ambayo ipo kwenye a 2km squared piece of land. In 10 years time Mombasa will have dwarfed Dar by eons.
aisee hadi leo bado mnatumia hivyo vi-hiace???....duh!! huku bongo vimepigwa ban long time ago!Green city in the sunView attachment 798404 View attachment 798405
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 walileta humu isaidie nairobihiyo mombasa,sisi hatuna tabu nayo.
anzisha uzi utualike huko.
aisee hadi leo bado mnatumia hivyo vi-hiace???....duh!! huku bongo vimepigwa ban long time ago!
bro,na still wanakwambia wana gari nyingi sana nairobi.
ni kupo poa sanamoshi town baby
![]()
sema siwalaumu hii yote inatokana na umaskini kinachofuata ni kufungiwa ajiandae kwa mashtaka
Nakuru is wow bro
Moshi imetulia bro

Mbona moshi isipewe kibali kuwa City kuliko towns. za ufala Ka iringa,mbeya,na tangaMoshi imetulia broView attachment 798444