Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kazi imeanza sasa😀😀😀😀 pesa zishapigwa sasa ni kazi ya taxpayers kulipa

 
Nairobi ni jiji la biashara.ndo maana kila kitu ni fasta-fasta...dar ni mji ya kurelax
Dar sio mji wa kitalii acheni kulishana ujinga, Dar Ni mji wa biashara...penye biashara na utalii unakuwepo lakin ni biashara zaidi...Njooni Dar sio mnaongelea tu kwenye keyboard zenu mnadhan mji ni Nbo pekee mnajidanganya
 
Leo Ichoboy ajaomba link😀😀😀😀
I guese these are houses for 98% employed. Ichoboy ebu tuonyeshe za 2% unemployed😀
2.7% in 2017 na uhakika 2018 itashuka sana kwasababu viwanda vingi vipya vimefunguliwa😀😀😀😀

hakuna nyumba ya bati kama hzi nyumba zote ni block houses
0BCA761F-A72B-4C33-A2FE-1A77E068EB73.jpeg
 
Dar is Sluum kweli and BTW hiyo Picha nimeitafuta for long bila mafanikio for they never show the settlements only the one street BRT.
ukwakwakwa😀😀😀😀
instagram hio😛😛😛😛😛
4695D9F3-055A-4BC6-A54E-7FA2DF8409A5.png
55F1E86F-FA14-4DF3-95EC-FCC2916E14BF.png
 
2.7% in 2017 na uhakika 2018 itashuka sana kwasababu viwanda vingi vipya vimefunguliwa😀😀😀😀

hakuna nyumba ya bati kama hzi nyumba zote ni block houses
View attachment 798368
Viwanda gani kama si vyerehani na kukamulia juisi ama hata kusukia nywele ni viwanda? Exxon amepotelea Msumbiji Dangote pia amekimbia Tanzagiza bila kusahau umeme wa 1300MW hata hautoshelezi kijiji cha Dar, Nyumba zenu ndefu hazina wapangaji sababu hela Watu hawana, FDI ya Kenya inaongoza Ukanda huu bila kusahau nyinyi ni LDC.
 
nenda kijijini ukalime. wacha vijana wavunje mifupa. wazee kama wewe mjini ni sumbua tu
dogo punguza nchecheto nilihenya sana miaka hiyo acha nile jasho langu..
wanyakyusa wana msemo wao wanasema "life begins at 40" kwa hiyo na wewe usizubae tafuta hela,wekeza ili usije kuishi kwa shida katika utu uzima wako..
 
Back
Top Bottom