Shida mnaongea sana .yaani Kenya nzima hakuna uwanja unaoweza fikia kaitaba stadium ya kule bukobaEmirates ilijengwa na 55billion.
Pesa kidogo sana iyo kwa nchi Ka Kenya.
pesa yenye Counties wanapewa na serikali pekee inajenga emirates saba
usifkiri vifaa vya ujenzi na instruments and machine for constructions ni same price kama hapo nairobi toeni huo ujinga kichwani mwenu kwao inaeza cost 55b ila kwa nairobi ikakost 100b hvi wewe uchumi uko mweupe kabisa naona😀😀😀😀Emirates ilijengwa na 55billion.
Pesa kidogo sana iyo kwa nchi Ka Kenya.
pesa yenye Counties wanapewa na serikali pekee inajenga emirates saba
umemaliza ni hzo tu😀😀😀
zikwapi sasa heheh unatuonesha viwanja vya kuchezea watoto hapa😀😀😀😀Wewe huwa zuzu kweli. Nani amekwambia ni izo tu?
Iyo ni standard cost...ikiacha labda -10b or+10B.usifkiri vifaa vya ujenzi na instruments and machine for constructions ni same price kama hapo nairobi toeni huo ujinga kichwani mwenu kwao inaeza cost 55b ila kwa nairobi ikakost 100b hvi wewe uchumi uko mweupe kabisa naona😀😀😀😀
kasome uchumi ndugu utoe kamasi ndani ya kichwa usifkiri uchumi nikama unaeka intervals za plus or minus alaf basiIyo ni standard cost...ikiacha labda -10b or+10B.
bukhungu kakamega bila effects and make upHapa artificial turfs kama hizo huwa hadi kule mashinani ushago. Sijui mnaturingia nini
Gikambura pitch, Kiambu mashinani.
View attachment 796777
View attachment 796778
Bomu, Mombasa
View attachment 796780
Uwanja wa Mbuzi
View attachment 796781
Bukhungu, Kakamega
View attachment 796784 View attachment 796785
Camp Toyoyo
View attachment 796790 View attachment 796791
Zuzu ya dar kwa ubora wake...huhukasome uchumi ndugu utoe kamasi ndani ya kichwa usifkiri uchumi nikama unaeka intervals za plus or minus alaf basi
kasome uchumi kwanza ujue sio unakuja hapa unaongea pumpa tu eti emirates wamejenga for 55b and nairobi tunaeza jenga kiwanja kama emirates kwa 55b 😛😀😀 nimecheka sana aisee unamawazo finyu sanaZuzu ya dar kwa ubora wake...huhu
kweli yajayo yanafurahishaEmirates ilijengwa na 55billion.
Pesa kidogo sana iyo kwa nchi Ka Kenya.
pesa yenye Counties wanapewa na serikali pekee inajenga emirates saba

umebonyea bonyea hatari yaani hapo quality zero
You see?? Even the name tells it all....nyasi bandia as you rightfully call it. Tangu lini kitu bandia ikawa kitu cha maana? Artificial pitch sio kitu ya kutajia watu...it just shows how backward you guys are...hata huku kenya artificial ziko but tunaona sio kitu cha kutangazia dunia coz there's absolutely nothing good in themKumbe we punguani kabisa sasa unaongea nini hapo .yaani nyasi bandia sio mihimu kumbe ndo maana Kenya nzima INA viwanja vibovu akili zenu ziko hivyo.kama ndo hivyo mbona fainali ya mwaka Jana iliamishiwa bongo wakati wa Everton yaani hamna hata haya
hehehe bila make up sasa unakaa hvi😀😀😀
Artificial grass in European leagues???? Hebu nitaje uwanja katika liga ya uingereza au ujerumani inayotumia artificial turfInaonekana swala la viwanja vya soka hulijui vzuri ...
Most of pitches zinatumia artifical turf..na manufactures hawawezi wakaharbu soko lao ..kutengeneza artifical turf ..most of venues in europe use artifical turf mixed with natural grass ..na almst 6stadiums in Tz have hybrid grass
dar hakuna milima