Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

That's artificial grass bruh...since when did artificial grass become 100% better? There are several stadiums in kenya with such playing surfaces so sijui mboba mnashikwa na orgams. artificial pitches are offer some of the most challenging playing surfaces you can ever imagine of....kama umewahi cheza mpira unapaswa kujua hilo
Kumbe we punguani kabisa sasa unaongea nini hapo .yaani nyasi bandia sio mihimu kumbe ndo maana Kenya nzima INA viwanja vibovu akili zenu ziko hivyo.kama ndo hivyo mbona fainali ya mwaka Jana iliamishiwa bongo wakati wa Everton yaani hamna hata haya
 
That's artificial grass mwehu wewe....hizo ziko kila sehemu kenya. kucheza mpira kwenye uwanja wa Articial grass hata ni ngumu zaidi kuliko huo uwanja wa Nakuru mnayosema hapa....the ball bounces a lot na kukinyesha tu kidogo hivi mpira haisongi....even Moi stadium in kisumu has artificial grass ndio maana mchezo ikapelekwa nakuru
mbona umeandika kama unakimbizwa na kanjo askari wa nairobi?.

"articial" ndio kitu gani?.
 
That's artificial grass mwehu wewe....hizo ziko kila sehemu kenya. kucheza mpira kwenye uwanja wa Articial grass hata ni ngumu zaidi kuliko huo uwanja wa Nakuru mnayosema hapa....the ball bounces a lot na kukinyesha tu kidogo hivi mpira haisongi....even Moi stadium in kisumu has artificial grass ndio maana mchezo ikapelekwa nakuru

Inaonekana swala la viwanja vya soka hulijui vzuri ...
Most of pitches zinatumia artifical turf..na manufactures hawawezi wakaharbu soko lao ..kutengeneza artifical turf ..most of venues in europe use artifical turf mixed with natural grass ..na almst 6stadiums in Tz have hybrid grass
 
Kuna hoja ya viwanja, vp una la kujibu?
Wewe umeingilia thread katikati halafu unaanza kupiga kelele kama wazimu...huu uzi iko na thousands of posts so kwa akili yako unaona watu walikuwa wakidiscuss viwanja vya michezo kutoka ukurasa wa kwanza? Typically danganyikan
 
Chukua hisia weka chini then come back and engage me with a sober mind
Hebu nikupe hiki cha arusha sheikh abeid stadium arusha
Sheikh-amri-abeid_1524048852-1600x705.jpg
20180125_114814.jpg
20180125_114615.jpg
20180125_114248.jpg
20180125_114011.jpg
20180125_113702.jpg
 
mbona umeandika kama unakimbizwa na kanjo askari wa nairobi?.

"articial" ndio kitu gani?.
Bora umenielewa, that's the most important thing...Such playing surfaces zimejaa kenya....kisumu alone has two of them. Mombasa has like three if am not wrong....in this era, you should not even be posting playing surfaces with artificial grass
 
Bora ya huu Mara mia kuliko afraha sijui kasarani yaani Kenya ovyo kabisa
kasarani imetuletea Gold,silver na bronze mingi sana.
imetuuza worldwide kwa mchezo wa rugby,volleyball,netball hadi swimming... old is gold
 
Back
Top Bottom