Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,607
- 15,708
Kwa sababu umepumbazwa na uzalendo za kijinga pamoja na mila na utamaduni za ujamaa, endelea kusherekea kuwepo kwa vijiji tz zinazoitwa cities. Hiyo hitowahifanyika Kenya. Nakuru hapo umeenda mbali sana.Ungesema Iringa tuupatie Thika ama hata Kericho...Nakuru umeenda mbali sana kijana mdogoNakuru imeendelea wakati wanaviwanja vya ajabuajabu kama afraha .Nakuru inaweza nusa na hata mji wa iringa kweli?


