Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bakhresa hashindwi kitu anaweza kujenga kiwanja matata kwa ajili ya racing. Jamaa aliagiza mabasi zaidi ya 1000 wafanyabshara wa mabasi wakaiomba Serikali jamaa asifanye biashar hiyo. Serikali ikamuomba naye akakubali.

Mkoa kwa mkoa Racing

 
halafu utawasikia wakenya vilaza wa jf wakipiga porojo kuhusu product za azam ilhali mwezi february mwaka huu, mamlaka inayohusika na usafiri wa majini nchini kenya ilituma maofisa wake tz kuja kukutana na mzee bakhresa ili kupata ushauri wa kitaalamu kuhusu uendeshaji wa biashara ya usafiri wa majini.
viva tanzania.

IMG_20180603_100951.jpg
IMG_20180603_100839.jpg
IMG_20180603_100835.jpg
IMG_20180603_100827.jpg
 
hahahah Lupita is global bana...diamond pengine tu pale Tandale...kwanza black panther imemjenga sana Lupita...kisha tuje kwa Wanyama...sasa diamond ndo nani hahahaha
That wa nyama introduced his entire family to Nandy, the whole Kenyan Hollywood came to meet Nandy just a Tanzania's upcoming got the country’s attention
IMG_20180603_104214_656.jpg
IMG_20180603_104156_495.jpg
 
ichoboy mdogo wangu
naomba leo u repost picha za lile gari lako na iphone.

nataka leo tuwavuruge hawa vilaza na kuwatoa kwenye reli mapema.

wakiona tu gari lako na iphone, wanahamishia battle na hasira yao kwenye
hivo vitu.
hiooooo 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
08CEB926-57CD-4576-AE3F-A9DD87F2C831.jpeg
 
hvi wakenya kila siku majengo kuanguka nairobi kuna tatizo gani hao civil engineers walienda kusoma nn
😱😱😱😱😱😱😱😱



 
daraaja limekwenda chini angalia watu wanavovuka hapo darajani alaaf wanakwambia MLDC😀😀
B4708C1D-02D1-4CFB-8576-1D16FDFA1BED.jpeg
 
waaaaa the only zipline imefunguliwa tanzania juzi wakati kenya zipo mingi sana kutoka kitambo.
nilidhani unasema tz hakuna zipline at all... kumbe unasema imefunguliwa juzi.
very stupid point.
 
Back
Top Bottom