Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hehehe ndio matumaini yako yalipoishia😀😀
hehehehe kusanya nairobi pamoja na mombasa na kisumu hamunusi ukucha kwa dar
dar yenyewe inanuka shonde. watu wanaishi kimafungu mafungu kama nyanya. nigguh plzzz
 
ungekuwa na evidence ungekuwa ushaleta tayari.
hii ni kama kuniambia ati "plz usiniulize evidence juu sina na ntaaibika"
😀😀😀😀😀😀😀

https://www.indexmundi.com/g/r.aspx?c=ke&v=69



3BC58177-4EAD-4D0C-AD99-0BA14476C135.jpeg
92A25EDF-8AC9-4793-AEBB-7443BAB3DDB0.jpeg
 
ghai! 2.7% na huku Kenya munafanya kazi za ajabu ajabu. mbona musirudi kwenu?!
😀😀😀😀😀 hehehe unashangaa enhh na hii 2018 itashuka below 2% kwasababu viwwnda vimejengwa vingi sana na vinaendelea kujengwa
 
😀😀😀😀😀 hehehe unashangaa enhh na hii 2018 itashuka below 2% kwasababu viwwnda vimejengwa vingi sana na vinaendelea kujengwa
viwanda gani bro. jua kutofautisha kati ya viwanda na 'vi-wonder'.
 
Back
Top Bottom