Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimeona official iko na 744,000 followers na pic ya wanyama iko
Na huyo ni nani? Nasikia ni product ya kenya😀😀😀😀😀😀
IMG_20180603_132934_579.jpg
 
kijana mdogo sana mwenye umri chini ya miaka 23 hehehhe aslay😀😀😀😀
DE2B19AB-D9FA-4DF1-A420-AC5D576F3CA5.jpeg
6D4A8904-35C7-4A39-9219-497C992FDAD9.jpeg
 
HUWA NASEMA mara kwa mara majengo nmengi ya kenya ni chakavu hayana mvuto nahaya ubora pia si yakisasa......kulingana na hii hali jionee jinsi vigjorofa vya pembeni vinavyotia huruma yaani hazivutii kabisa.....kwa huo mtindo lazima zianguke na siku pale nairobi likipita tetemeko la ardhi tutegemee makubwa zaidi kuona majengo yote yakidondoka

kenya haina wajenzi kabisa hizo kazi za ujenzi tupeni Tanzania na mje kujifunza kupitia NHC TANZANIA
FB_IMG_15280226642267602.jpg
 
HUWA NASEMA mara kwa mara majengo nmengi ya kenya ni chakavu hayana mvuto nahaya ubora pia si yakisasa......kulingana na hii hali jionee jinsi vigjorofa vya pembeni vinavyotia huruma yaani hazivutii kabisa.....kwa huo mtindo lazima zianguke na siku pale nairobi likipita tetemeko la ardhi tutegemee makubwa zaidi kuona majengo yote yakidondoka

kenya haina wajenzi kabisa hizo kazi za ujenzi tupeni Tanzania na mje kujifunza kupitia NHC TANZANIAView attachment 792973
RIP innocent souls. Hayo majengo ya kikenya yana tatizo maana hizi kesi kila mwaka zinajirudia. Ukiyaangalia tu hayo maghorofa yanaonekana kuna shida....
 
Back
Top Bottom