Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
huo nfiyo ukweli........wanapinga tu basi.....yani leo anashangaa kuskia tanzania unemployment rate 2.7% heheheh😀😀😀😀😀
ukiwaambia uchumi umeshikwa na wazungu kenya na mashamba yote yameshikwa na wazungu wanakasirika
wananchi wakenya hawana uchumi uchumi umeshikiliwa nawachache