Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wamefanana.....ndiyo maana wanabaki kuwa kings of afrika .....where is president of kenya in hostorical site of africa freedom changes
Kenyatta & Emperor Selassie
The Greats
Screenshot_20180526-095033.jpg
Screenshot_20180526-095336.jpg
 
Hiyo apartment ina uzuri gani acha porojo wewe. Barabara yenyewe vumbi ukipiga miayo tu nzi na takataka zinajaa mdomoni. Umekaa kunadi apartment chakavu.
ndiyo maana tumemuacha...........aropoke peke yake
 
hizo sehemu hakuna uswazi hata moja ni sehemu ambazo zipo kwenye mpangilio wa mitaa nikupo poa sana......nawatu wanaoishi hayo maeneo niwananchi wakawaida.....
Did you just say mpangilio wa mitaa when referring to Dar estates? Kweli uzalendo imewapumbaza!
 
huyo hakuwa bright .....na hata hakuwa na msaada wowote wakidiplomacy kwa bara la africa zaidi yakufuga ndevu zake chafu nakukumbatia wazungu....no great history revolution in africa for him......

nothing........but R.I.P
Yule wenu nacho mekundu aliwasaidia nini zaidi ya ujamaa ambacho ndio kiini cha nyie kuwa ldc miaka hamsini tangu mjitawale!!
 
Did you just say mpangilio wa mitaa when referring to Dar estates? Kweli uzalendo imewapumbaza!
elewa unachoambiwa hayo maeneo hayana uswazi kuna maeneo ambayo yapo na uswazi ila siyo hayo....ungekuwa mtembeaji ungetembezwa hapo ungebaki mpole.......maana fikra zako zipo kudhoto
 
Yule wenu nacho mekundu aliwasaidia nini zaidi ya ujamaa ambacho ndio kiini cha nyie kuwa ldc miaka hamsini tangu mjitawale!!
find history ya huyo mwamba......unajifanya huelewi,,,compare economy ya tz yakipindi chake kisha linganisha na ile yenu...
 
magu wewe ni chuma😀😀😀😀
cost ya uwanja ni 100m usd
uwanja mpya wa kisasa na wapili kwa ukubwa africa umeanza kujengwa dodoma na utakua wakisasa wa aina yake ndani ya africa





 
magu wewe ni chuma😀😀😀😀
cost ya uwanja ni 100m usd
uwanja mpya wa kisasa na wapili kwa ukubwa africa umeanza kujengwa dodoma na utakua wakisasa wa aina yake ndani ya africa





swadakta utauwa wakenya yaani hiyo stage ukizikusanya airport zote zakenya haziifikii ....ni balaa
 
Back
Top Bottom