uwanja wa mpira huo broswadakta utauwa wakenya yaani hiyo stage ukizikusanya airport zote zakenya haziifikii ....ni balaa
hatari sanahehehe wanataka kushindana na tanzania kwenye maendeleo 😀😀😀😀😀
uwanja wa mao zanzibar ukiwa kwenye hatua za mwisho kabisa
View attachment 786670 View attachment 786659 View attachment 786660 View attachment 786661 View attachment 786662 View attachment 786663 View attachment 786664 View attachment 786665 View attachment 786666 View attachment 786667 View attachment 786668 View attachment 786669 View attachment 786671
nimeupata yaani ni nomauwanja wa mpira huo bro
halafu watakuja hapa kulinganisha na vile vibanda uchafu vyao
waacha waendelee kuota kua ni ile tz ya 90s😀😀hatari sana
na kuna uwanja wa iringa wa samora umefanyiwa marekebisho makubwa sana natafuta picha zake niwaletee hawa kunguni alf wafananishe na ule uwanja wa mbuzi machakos😀😀😀😀😀hatari sana
Kitu nimegundua na hawa midanganyika ni kwamba hawajazoea apartment buildings which is a norm here in kenya, especially in bigger towns like Nairobi. Wakati unasikia mtu anasema Kayole na Huruma ni slums, nashangaa sana slums inamaanisha nini kwao coz in those estates 90% of houses are apartment buildings with self-contained rooms. Considering that wamezoea swahili shacks with rusty iron sheets which they proudly call dream houses, wanajaribu sana kupaka matope nyumba za Nairobi na kuziita slums wakati wengi wao hawawezi mudu kulipa kodi za nyumba kwenye hizo mitaa.Hapa ni Huruma stop posting Photos of kibera in every area saying Nairobi is fool of slums semeni UKWELI si Kujiweka Juu ni kumbe nyinyi ndio The Big Dar is slumView attachment 786438View attachment 786439View attachment 786440View attachment 786441View attachment 786442
na kuna uwanja wa iringa wa samora umefanyiwa marekebisho makubwa sana natafuta picha zake niwaletee hawa kunguni alf wafananishe na ule uwanja wa mbuzi machakos😀😀😀😀😀
wanavitukoWewe saa zingine unatia huruma sana...sasa unatuletea uwanja wa artificial turf unaona ni maendeleo sana!? hehehe wah!hehehe wanataka kushindana na tanzania kwenye maendeleo 😀😀😀😀😀
uwanja wa mao zanzibar ukiwa kwenye hatua za mwisho kabisa
View attachment 786670 View attachment 786659 View attachment 786660 View attachment 786661 View attachment 786662 View attachment 786663 View attachment 786664 View attachment 786665 View attachment 786666 View attachment 786667 View attachment 786668 View attachment 786669 View attachment 786671
Acha ujinga,aliyekudanganya gharama za maisha nai inaizidi dar ni Nani???kama unazungumzia estate hujakosea,sababu watu wengi hapo ni masikini mmepanga.Maisha iko juu coz it's an important and competitive city. Niambie ni jiji gani la maana hapa Africa ama dunia nzima iko na kiwango cha chini cha maisha? glorified villages like Dar ndo maisha iko rahisi coz haiko competitive in anything. Yani kule hakuna mtu ako na haraka ya kuenda coz haina umuhumi yoyote so cost ya maisha inabaki chini
ha haaa........unaleta story zakupanga mimi nilijua kujennga ......Kitu nimegundua na hawa midanganyika ni kwamba hawajazoea apartment buildings which is a norm here in kenya, especially in bigger towns like Nairobi. Wakati unasikia mtu anasema Kayole na Huruma ni slums, nashangaa sana slums inamaanisha nini kwao coz in those estates 90% of houses are apartment buildings with self-contained rooms. Considering that wamezoea swahili shacks with rusty iron sheets which they proudly call dream houses, wanajaribu sana kupaka matope nyumba za Nairobi na kuziita slums wakati wengi wao hawawezi mudu kulipa kodi za nyumba kwenye hizo mitaa.

wakwenu kama huo uko???? au ndo ule machakosWewe saa zingine unatia huruma sana...sasa unatuletea uwanja wa artificial turf unaona ni maendeleo sana!? hehehe wah!
Na wewe pia ungekuwa mtembeaji haungesema kayole au Huruma ni slums. Huko kuna self-contained houses ambazo wewe huwezi afford kulipa rentelewa unachoambiwa hayo maeneo hayana uswazi kuna maeneo ambayo yapo na uswazi ila siyo hayo....ungekuwa mtembeaji ungetembezwa hapo ungebaki mpole.......maana fikra zako zipo kudhoto
Wengine upuuzi iko ndani ktk DNA.ha haaa........unaleta story zakupanga mimi nilijua kujennga ......
hivyo ni dhahiri yaonyesha vile brain yako inavyothink yaani unawaza kupanga kwenye estate huku wenzako tunafikra kujenga.....
brain yako kifikra ipo dig sana......jiongeze mazee![]()
![]()