mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,512
Ok mimi nilidhani unaidharau 500 huku Mpesa ikisoma 50k,Nkt! Infact M pesa yangu haijawahi shuka mia tank so I just don't get what you are telling me.. Mia tano kenya ni mingi sana ukilinganisha na Tz hii imetosha shopping ya chakula ya the whole day #3 meals so sijui UNASEMA nini? Infact Kibera chakula kwa kibanda ni 30 Bob na unakula kumwaga Tz lunch yako pekee ni pesa ngapi??
Ni ajabu mtu anakwambia eti, imagine nikiwa na 200k ya kenya nikaenda tz mimi ni millionaire, kasahau hiyo laki mbili ya Kenya kuishika ni mpaka akunye kasimama.
Anyway menyu ya mchana tz kimaskini ni 1500.