Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tsh500,000 ni kama Ksh20,000 kama sijakosea. Hiyo ni rent ya two bedroom house in an ordinary estate like Donholm or Kasarani. Huko kwenu najua hiyo ni rent ya Nyumba kule masaki, mbezi beach au oysterbay.
Si amejisemea mwenyewe... And then si huyu ndio anajigamba hapa hawezi panda matatu na Rout ya Rongai Langata ni 100ksh...yenye sijui ni Tsh5000
 
Si amejisemea mwenyewe... And then si huyu ndio anajigamba hapa hawezi panda matatu na Rout ya Rongai Langata ni 100ksh...yenye sijui ni Tsh5000
Hiyo ni= 2000 ya tz,sasa elfu mbili nayo ni nauli ya kuandika humu??unatulingishia we kweli ni mbuzi.
 
Cheki mbuzi huyu ,hivi unajua hata unachokiandika.

Wacha nikuulize unachukua muda gani kutafuta hiyo 500 ya kenya,???maana inawezekana naongea na ng'ombe.
Acha Matusi na Ujibu swali feelings Peleka Somalia kaka... Ksh500?=? Tsh jibu swali kwanza
 
Hio nipesa ya kubett kwangu.... Kenya by the way Hio ni Mshahara ya House girls... Hio si mshahara Kenya we speak of 30k kuendelea hio labda rent Kawangware
You mean 30southand sio???

Sasa kama wewe unalipwa 50k,unaweza kweli kulipia hayo mabweni ya 20k,halafu unakula nini?
 
Hiyo ni= 2000 ya tz,sasa elfu mbili nayo ni nauli ya kuandika humu??unatulingishia we kweli ni mbuzi.
2k imetosha nifike town, I buy Clothes in gikomba na bado nikule lunch na nlirudi home comfortably and you? Hio ni transport pekee... That's How poor your Economy is... Hamna difference na Uganda where one goes shopping with a Sack of money
 
2k imetosha nifike town, I buy Clothes in gikomba na bado nikule lunch na nlirudi home comfortably and you? Hio ni transport pekee... That's How poor your Economy is... Hamna difference na Uganda where one goes shopping with a Sack of money
Ndio maana nikakwambia hujui unachoandika,so siku nzima unaweza ukasota usiipate hiyo 500,kama mimi kuifukuzia 10k.

Au unaipata kama mimi ninavyoipata mia tano ya huku??
 
You mean 30southand sio???

Sasa kama wewe unalipwa 50k,unaweza kweli kulipia hayo mabweni ya 20k,halafu unakula nini?
Yuh very comfortably Ju mimi sio ngurue na tena sina Familia.. I eat to live I dont live to eat... That's what makes kenya Capitalist and not Ujamaa
 
Yuh very comfortably Ju mimi sio ngurue na tena sina Familia.. I eat to live I dont live to eat... That's what makes kenya Capitalist and not Ujamaa
Ndio hapo kibera inaonekana ni mkombozi Wa wakenya walio wengi kama wewe???

Muda si mrefu utaniambia unalala sehemu ilimradi usinzie kukuche,pole kijana.
 
Ndio maana nikakwambia hujui unachoandika,so siku nzima unaweza ukasota usiipate hiyo 500,kama mimi kuifukuzia 10k.

Au unaipata kama mimi ninavyoipata mia tano ya huku??
Nkt! Infact M pesa yangu haijawahi shuka mia tank so I just don't get what you are telling me.. Mia tano kenya ni mingi sana ukilinganisha na Tz hii imetosha shopping ya chakula ya the whole day #3 meals so sijui UNASEMA nini? Infact Kibera chakula kwa kibanda ni 30 Bob na unakula kumwaga Tz lunch yako pekee ni pesa ngapi??
 
Ndio hapo kibera inaonekana ni mkombozi Wa wakenya walio wengi kama wewe???

Muda si mrefu utaniambia unalala sehemu ilimradi usinzie kukuche,pole kijana.
Hahaha we unajua Nikiuza shamba kenya hio imetosha kujenga Estate Tanzania na kwanza Rent pekee yangu imetosha kukusomesha hadi ukuwe daktari
 
Back
Top Bottom