NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,386
- 17,966
Hahahaha.............umemkamata makende sawasawa. Huyu hajatoka hapo tandale tangu kuzaliwa.Yani ulitoka Juja ukapitia Embu kukuja Nairobi!!!??? Hehehe Wewe unajua Embu iko wapi hapa kenya? Muda huu wote nilikuwa najua tu hujui unachkosema wala hujawahi kanyaga Nairobi ndo maana nilikuwa nakuuliza hayo maswali. Kazi yako ni kuporokwa tu bila ya kujua unachosema. In fact hujakanyaga nje ya mbagala Dar na huku unajifanya vile unajua Nairobi. Wewe unajua Nairobi kwa ndoto tu na labda kusoma kwenye vyomba vya habari
