Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We Usitudanganye hapo ni kayole Tunajua Nairobi VIZURI.. UNATHANI rent ya kayole UNAEZA afford na Hio Tsh500000 yako ya KUNUNUA peremende
Wewe mbuzi unaijua nyumba ya kupanga kwa tsh 500k/inafananaje??huwezi lipa laki tano ukaishi kwenye balacks humo,labda hujui kazi ya pesa.
 
It is clear watu hawajui Nairobi hata kidogo wanaongea KWA Tv wanathani wamefika Huruma 4 example ni place imejaa flats How comes
Mtu anapost PICHA za mabati hapo aty ni slum na rent hawawezani
Achana na hawa vilaza. Nilishawaambia rent ya nyumba huko kayole au Huruma wengi wao hapa hawawezi afford. Kayole na huruma imejaa apartments kila mahali hata nashangaa hizo picha wanaleta ni za wapi. Wanafikiri Nairobi ni kama dar yao iliyo na slums left right and centre
 
It is clear watu hawajui Nairobi hata kidogo wanaongea KWA Tv wanathani wamefika Huruma 4 example ni place imejaa flats How comes
Mtu anapost PICHA za mabati hapo aty ni slum na rent hawawezani
Achana na hawa vilaza. Nilishawaambia rent ya nyumba huko kayole au Huruma wengi wao hapa hawawezi afford. Kayole na huruma imejaa apartments kila mahali hata nashangaa hizo picha wanaleta ni za wapi. Wanafikiri Nairobi ni kama dar yao iliyo na slums left right and centre
 
Wewe mbuzi unaijua nyumba ya kupanga kwa tsh 500k/inafananaje??huwezi lipa laki tano ukaishi kwenye balacks humo,labda hujui kazi ya pesa.
Tsh500,000 ni kama Ksh20,000 kama sijakosea. Hiyo ni rent ya two bedroom house in an ordinary estate like Donholm or Kasarani. Huko kwenu najua hiyo ni rent ya Nyumba kule masaki, mbezi beach au oysterbay.
 
haya tuambie hapo ni wapi??? sheria bila shuruti😀😀😀😀😀😀
We uligoogle wapi? Fika Nairobi Acha kuiskia kwa Mziki za wasanii Fika Uone na macho Kayole... Shida ni huko HAWANA Huruma na Mazuzu Kama wewe... Utachanuliwa vilivyo Hio Ubongolala yako ikwishe
 
Dogo una kiswahili kibovu na umeng'ang'ana kuandika notes.embu acha umaamuma.

Kwani ni uongo kwamba Nairobi inasifika duniani kwa slums???au hili nalo mpaka kuona kwa TV??
Nkt! Wewe na hio Kiswahili yako to hell with it... Kiswahili Imekusaidia na nini bado Unaishia LDC with a fishing village as its Capital?... And by the way Nairobi is Known for Bigger things than just slums... eg. -Big Universities, Big Inventions like M-pesa, Big Brains, Big Malls, Big Companies, And also the home capital of the 1st Black American president... That's Concrete History Tz will never ever have so think thrice before Ulinganishe hizo Azam zenyu na Nairobi kenya
 
Wewe mbuzi unaijua nyumba ya kupanga kwa tsh 500k/inafananaje??huwezi lipa laki tano ukaishi kwenye balacks humo,labda hujui kazi ya pesa.
Sasa Tz iko na value gani ya pesa unataka kunifunza mimi mkenya pesa Ama you want us to start Comparing currencies hapa ndio Ujue kweli Kenya sio Ligi Yenyu Haya nijibu... Ksh500=? Tsh.... jibu hio sasa
 
asante kwa porojo... endeleeni kufanya music tour mashinani.
Mnapenda kusifu Diamond Nikama Mungu wa Tz na akifika kenya anapelekwa Naivasha kufanya show ama kwa Universities Nyimbo za Diamond zi huniuthi sana.. Huo msee sielewangi KENUE anaimba.. He make no sense.. What the Hell is "NGOLOLO" Heri Alikiba sasa.. Diamond BURE kabisa
 
Tsh500,000 ni kama Ksh20,000 kama sijakosea. Hiyo ni rent ya two bedroom house in an ordinary estate like Donholm or Kasarani. Huko kwenu najua hiyo ni rent ya Nyumba kule masaki, mbezi beach au oysterbay.
That's why nikaandika hamjui kazi ya pesa na hamfaham kama hamjui.

Laki tano ya tz ukiiweka kulipia kodi ya pango utaishi katika nyumba nzuri sana tu .

Kama unaona 20k ya kenya ni pesa ndogo sana,nitakuuliza unalipwa laki ngapi ya Kenya.
 
We uligoogle wapi? Fika Nairobi Acha kuiskia kwa Mziki za wasanii Fika Uone na macho Kayole... Shida ni huko HAWANA Huruma na Mazuzu Kama wewe... Utachanuliwa vilivyo Hio Ubongolala yako ikwishe
hehheeh yani ulikubali sasa unaanza kuruka😀😀
 
That's why nikaandika hamjui kazi ya pesa na hamfaham kama hamjui.

Laki tano ya tz ukiiweka kulipia kodi ya pango utaishi katika nyumba nzuri sana tu .

Kama unaona 20k ya kenya ni pesa ndogo sana,nitakuuliza unalipwa laki ngapi ya Kenya.
heheheh kwanza muulize hio kazi anayo 😀😀
 
Mnapenda kusifu Diamond Nikama Mungu wa Tz na akifika kenya anapelekwa Naivasha kufanya show ama kwa Universities Nyimbo za Diamond zi huniuthi sana.. Huo msee sielewangi KENUE anaimba.. He make no sense.. What the Hell is "NGOLOLO" Heri Alikiba sasa.. Diamond BURE kabisa
alipofanya show pale nairobi mpaka mukampa plot bure alikua sio diamond😀😀😀😀😀
 
Sasa Tz iko na value gani ya pesa unataka kunifunza mimi mkenya pesa Ama you want us to start Comparing currencies hapa ndio Ujue kweli Kenya sio Ligi Yenyu Haya nijibu... Ksh500=? Tsh.... jibu hio sasa
Cheki mbuzi huyu ,hivi unajua hata unachokiandika.

Wacha nikuulize unachukua muda gani kutafuta hiyo 500 ya kenya,???maana inawezekana naongea na ng'ombe.
 
Back
Top Bottom