Mkataa kwao ni mtumwa.kayole slum hio
Hakuna watumwa kuwaliko nyinyi ambao wanakataa kila picha ya Dar inayoletwa hapa ndani. Mumepumbazwa na uzalendo za kijinga wakati mji wenu umejaa changaduo left right and centerMkataa kwao ni mtumwa.
Hataki nyumbani kwao,anapakimbia,hapakubali jamani.
heheh tumeingia kwenye mada ya changudoa sasa😀😀😀😀😀 kayole slum tushamalizaHakuna watumwa kuwaliko nyinyi ambao wanakataa kila picha ya Dar inayoletwa hapa ndani. Mumepumbazwa na uzalendo za kijinga wakati mji wenu umejaa changaduo left right and center
heheh tumeingia kwenye mada ya changudoa sasa😀😀😀😀😀 kayole slum tushamaliza








Pole kwa hasira.Hakuna watumwa kuwaliko nyinyi ambao wanakataa kila picha ya Dar inayoletwa hapa ndani. Mumepumbazwa na uzalendo za kijinga wakati mji wenu umejaa changaduo left right and center
kayolee oyeeekayole hutaki iwe slum sasa wakati ni slum we vp 😀😀😀😀

yaani nairobi ni vituko hapo kumekaa kama kijijini ......yaani building zakishamba halafu zipo kwenye jiji tena pembezonikayole slum hio

ajumlishe na wafanyakazi wa nje wanaofanya kzi hapo nairobi ndio wamejaa kwenye estatesPole kwa hasira.
Hivi nairobi yote wananchi wanaoishi katka hizo estate ni wangapi kwa makadilio???
Kuna sehemu nataka kushika.ajumlishe na wafanyakazi wa nje wanaofanya kzi hapo nairobi ndio wamejaa kwenye estates
we shika tu bro kata makende kabisa😀😀😀Kuna sehemu nataka kushika.
Lips Baggy Ana Boo... Aty show USA?wakati wanamuziki wanaoimba ujinga toka kenya wakipishana nairobi-nakuru road, nairobi-mombasa road na nairobi-ruiru road kwenda kwa city counties na mashinani kufanya music shows,hii hapa ratiba ya ziara za diamond platnumz kwenda ku perform ughaibuni (USA).
from tz to the world.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
View attachment 785929View attachment 785930
povu ruska.![]()
HIO NI MIUJIZA TZ.. Sisi hio tuliachia ma DJ Kama kalonje sio wasanii na usisahau sauti soulHAWAJUI kenya ni the leading Motor World in East AfricaWengine wanaleta vintage cars hawajui hapo Kenya ndio babayao?
Vintage cars
![]()
We Usitudanganye hapo ni kayole Tunajua Nairobi VIZURI.. UNATHANI rent ya kayole UNAEZA afford na Hio Tsh500000 yako ya KUNUNUA peremendekayole nairobi
kayole hio😀😀😀😀😀
![]()
Hio azam ndio sijui ni nini aky... mara naskia ni Energy drink Ohh sijui ni Tv mara Ohh ni dish Ohh ni YatchTumia akili ww. azam tv walikuwa wanaonyesha 3D printer zinazotengenezwa na ma engineer wa kibongo. Smh
tena naskia UMEKUA Printer

It is clear watu hawajui Nairobi hata kidogo wanaongea KWA Tv wanathani wamefikaHizi majina umetoa wapi: Nyalenda slum, shilanga slum, siranga slum, Raila slum, Kenyatta university slum, ziwa la Ng'ombe, Fuata nyayo? av lived in Nairobi for ten years wala sijasikia haya majina. Kwa mfano, Nyalenda is an estate kule Kisumu in western kenya. Iweje leo imepatikana Nairobi? Yaonyesha jinsi hukui unachosema. Then kuna mitaa umetaja hapo ni slums wakati huwezi afford kulipa rent hata ya bedsitter kwenye hizo mitaa. Kayole, Huruma, Makongoneni, Pumwani, Baba Dogo, Kangemi, kawangware etc are decent estates with apartment blocks za bedsitters na one bedroom and two bedroom houses self-contained. Huko ukipewa nyumba huwezi tamani kurudi kwa nyumba za uswazi Dar
Huruma 4 example ni place imejaa flats How comes

haya tuambie hapo ni wapi??? sheria bila shuruti😀😀😀😀😀😀We Usitudanganye hapo ni kayole Tunajua Nairobi VIZURI.. UNATHANI rent ya kayole UNAEZA afford na Hio Tsh500000 yako ya KUNUNUA peremende
Dogo una kiswahili kibovu na umeng'ang'ana kuandika notes.embu acha umaamuma.It is clear watu hawajui Nairobi hata kidogo wanaongea KWA Tv wanathani wamefika![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Huruma 4 example ni place imejaa flats How comes
Mtu anapost PICHA za mabati hapo aty ni slum na rent hawawezani![]()
![]()
![]()