Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


yaani umejivuruga kweli hadi macoca cola ndani ya nyumba hapo tulicho p
yaani umejivuruga kweli hadi macoca cola ndani ya nyumba hapo tulicho point hapo ni nyazifa zakibabe siyo hizo takataka unazoziandika hapa hata hawajulikani......yaani nchi yenu mbali ya raisi wenu uhuru hakuna wengine wanaojulikana kimataifa.....

mfano mdogo tu nitajie mkenya yeyote tokea dunia inaanza na kawa kwenye nyadhifa ya heshima na kubwa kama hii huyu ni Asha rose migiro kuwa mkweli kwenye anga za kutawala anga ama nafasi za juu w
yaani umejivuruga kweli hadi macoca cola ndani ya nyumba hapo tulicho p
yaani umejivuruga kweli hadi macoca cola ndani ya nyumba hapo tulicho point hapo ni nyazifa zakibabe siyo hizo takataka unazoziandika hapa hata hawajulikani......yaani nchi yenu mbali ya raisi wenu uhuru hakuna wengine wanaojulikana kimataifa.....

mfano mdogo tu nitajie mkenya yeyote tokea dunia inaanza na kawa kwenye nyadhifa ya heshima na kubwa kama hii huyu ni Asha rose migiro kuwa mkweli kwenye anga za kutawala anga ama nafasi za juu za taasisi za kimataifa wakenya hamuwezi.......hamna baraka za haya mambo pia niwachanga sana

ASHA ROSE MIGIRO
Asha-Rose Migiro - Wikipedia
View attachment 784375
Your stupidity has drawn my attention.. Aty Asha?? Huyo hajulikani labda KIJIJINI kwenyu... BTW KENYA IS THE FIRST COUNTRY IN AFRICA TO HAVE THE FIRST WOMAN TO WIN THE NOBLE PRIZE... [HASHTAG]#WANGARE[/HASHTAG] MATHAE... Hio ni kitu TZ hajawahi na haitawahi Tokea TZ... Not to mention Obama the 1st black President of USA na bado Lupita na WENGINE.. In international matters please Tanzanian Msijisumbue
 
Tuongelee mambo ya maendeleo, sio size. I don't have to tell you for the millionth time that size of a city or town us not an indication of its sophistication or development. Hata hapa Africa, Dar is bigger than cape town (400sqkm) yet cape town is a hundred times better than Dar in virtually everything
capetown ni mji uliokaliwa na wazungu zaidi ya miaka 50 na wamejaa wazungu hapo na hawakuanza maendeleo leo wala jana na capetown has population 400k people
south africa wamepewa uhuru 1992 kutoka kwa wazungu na still huo uchumi wao umeshikwa na wazungu na maendeleo yote yamefanywa na wazungu na mpaka leo kuna baadhi ya maeneo capetown akionekana mwafrika anapigwa risasi
hebu kua msomi mwenye malengo

ni kama vile kenya mmasai na ngombe wake wakionekana kwenye shamba ya mzungu settler wanapigwa risasi yeye masai pamoja na mifugo yake
umeongea maneno mengi sahihi, lakini hujaonyesha uhusiano kati ya cape town kukaliwa na kuendelezwa na mzungu, na ukubwa wake (sqkm)! Where's the catch?!
 
umeongea maneno mengi sahihi, lakini hujaonyesha uhusiano kati ya cape town kukaliwa na kuendelezwa na mzungu, na ukubwa wake (sqkm)! Where's the catch?!
hakuna mtu asiejua kua captown ni jimbo lilikoshikwa na wazungu kwa miaka mingi sana na mpaka leo tunavozunguzma yapo maeneo capetown yameshikwa na wazungu na mtu mweusi hatakiwi kuonekana maeneo hayo kwa lugha nyepesi tunaeza kusema ni sehemu ya wazungu wengi na wameijenga wao na wameishkilia wao na wameiendeleza siku nyingi sana wao kama wao, leo tunaona south africa imejengeka ni kwasababu ilishajengwa na wazungu miaka mingi sana hata kabla nchi za africa kupata uhuru, sioni ni kitu gani hujaelewa hapo
 
2A6E4557-2E7C-4C9D-B3AE-EA62D4A709F4.jpeg
 
Tuongelee mambo ya maendeleo, sio size. I don't have to tell you for the millionth time that size of a city or town us not an indication of its sophistication or development. Hata hapa Africa, Dar is bigger than cape town (400sqkm) yet cape town is a hundred times better than Dar in virtually everything
capetown ni mji uliokaliwa na wazungu zaidi ya miaka 50 na wamejaa wazungu hapo na hawakuanza maendeleo leo wala jana na capetown has population 400k people
south africa wamepewa uhuru 1992 kutoka kwa wazungu na still huo uchumi wao umeshikwa na wazungu na maendeleo yote yamefanywa na wazungu na mpaka leo kuna baadhi ya maeneo capetown akionekana mwafrika anapigwa risasi
hebu kua msomi mwenye malengo

ni kama vile kenya mmasai na ngombe wake wakionekana kwenye shamba ya mzungu settler wanapigwa risasi yeye masai pamoja na mifugo yake
umeongea maneno mengi sahihi, lakini hujaonyesha uhusiano kati ya cape town kukaliwa na kuendelezwa na mzungu, na ukubwa wake (sqkm)! Where's the catch?!
hakuna mtu asiejua kua captown ni jimbo lilikoshikwa na wazungu kwa miaka mingi sana na mpaka leo tunavozunguzma yapo maeneo capetown yameshikwa na wazungu na mtu mweusi hatakiwi kuonekana maeneo hayo kwa lugha nyepesi tunaeza kusema ni sehemu ya wazungu wengi na wameijenga wao na wameishkilia wao na wameiendeleza siku nyingi sana wao kama wao, leo tunaona south africa imejengeka ni kwasababu ilishajengwa na wazungu miaka mingi sana hata kabla nchi za africa kupata uhuru, sioni ni kitu gani hujaelewa hapo
Yani hapo umerudia yale ulosema mwanzo......
Kutokana na mtazamo wako wa hapo awali.... kwamba ukubwa wa mji ndo determinant ya maendeleo, labda kama umebadili mtazamo saivi lakini bado HUJAONYESHA UHUSIANO KATI YA CAPETOWN KUWA VYOOTE HIVYO ULIVYOSEMA (kimaendeleo) NA UKUBWA WAKE (sqkm). Povu ruksa😀
 
Yani hapo umerudia yale ulosema mwanzo......
Kutokana na mtazamo wako wa hapo awali.... kwamba ukubwa wa mji ndo determinant ya maendeleo, labda kama umebadili mtazamo saivi lakini bado HUJAONYESHA UHUSIANO KATI YA CAPETOWN KUWA VYOOTE HIVYO ULIVYOSEMA (kimaendeleo) NA UKUBWA WAKE (sqkm). Povu ruksa😀
labda nikuelemishe nairobi and dar are developing cities and cape town is developed town wewe kipi hapo hujaelewa 😀😀😀😀

na capetown haikuanza maendeleo leo wala jana usifkiri ni kama dar au nairobi hehehhe
capetown imeanza developments hata kabla kenya na tanzania kupata uhuru wewe unaongea nn???😛😛😛😛😛

na nilishamwambia mwenzio dar es salaam is a fastest developing city in africa utake usitake upende usipende
 
Yani hapo umerudia yale ulosema mwanzo......
Kutokana na mtazamo wako wa hapo awali.... kwamba ukubwa wa mji ndo determinant ya maendeleo, labda kama umebadili mtazamo saivi lakini bado HUJAONYESHA UHUSIANO KATI YA CAPETOWN KUWA VYOOTE HIVYO ULIVYOSEMA (kimaendeleo) NA UKUBWA WAKE (sqkm). Povu ruksa😀
Achana na huyo jamaa atakuambukiza tu ujinga bure. In his stupid mind, he thinks a bigger town or city boundary equals development. That's epitome of ignorance. I can give him a million cities just here in Africa much smaller than that glorified village called Dar but a hundred times better. Take the case of Windhoek, Namibia which is around 690 kmsq but is way better than this thing called Dar. sometimes I tend to think that Windheok is even better than Nairobi. Not far from windhoek is Luanda, a city which is only 113 km squared but much more developed and advanced than Dar. Huyo ujamaa na uzalendo za kijinga zimempumbaza
 
Achana na huyo jamaa atakuambukiza tunujinga bure. In his stupid mind, he thinks a bigger town or city boundary equals development. That's epitome of ignorance. I can give him a million cities just here in Africa. much smaller than that glorified village called Dar but a hundred times better. Take the case of Windhoek, Namibia which is around 690 kmsq but is way better than this thing called Dar. sometimes I tend to think that Windheok is even better than Nairobi. Not for from windhoek is Luanda, a city which is only 113 km squared but much more developed and advanced than Dar. Huyo ujamaa na uzalendo za kijinga zimembumbaza
way better of what?? slums au???😀😀😀😀😀 wewe huwezi kunieleza habari ya capetown ule mji umeendelezwa na wazungu kabla ya tanzania na kenya kupata uhuru alaf unataka kufananisha in terms of developments
na inaonesha history ya miji wewe huijui maana ulipoongelea habari ya newyork ukajiona umeongea bonge la point kumbe mswaki ukabadilisha capetown kumbe hata history ya cities wewe huzijui😀😀😀😀 unabishana ilimradi tu uonkane upo
 
Labda kama hujui au umekariri,miji mingi duniani yenye eneo Dogo haikujengwa miaka ya karibuni.imeendelea muda mrefu nyuma.

Kwa miji ambayo inakuwa kwa sasa lazima iwe na eneo kubwa.hii inafaida nyingi sana kiuchumi.
 
Labda kama hujui au umekariri,miji mingi duniani yenye eneo Dogo haikujengwa miaka ya karibuni.imeendelea muda mrefu nyuma.

Kwa miji ambayo inakuwa kwa sasa lazima iwe na eneo kubwa.hii inafaida nyingi sana kiuchumi.
ndio nachomueleza hapa hajui kabisa history ya miji 😀😀😀😀😀😀😀 yani mawazo yake yako mbali sana na anachokiongea yani nimemuona boya kweli😛😛😛😛
 
Labda kama hujui au umekariri,miji mingi duniani yenye eneo Dogo haikujengwa miaka ya karibuni.imeendelea muda mrefu nyuma.

Kwa miji ambayo inakuwa kwa sasa lazima iwe na eneo kubwa.hii inafaida nyingi sana kiuchumi.
Hata Kigali ni mji changa tena ngogo sana lakini unalendeza tena imeendelea kushinda hiki kjiji chenu mnalazimisha maendeleo yake kutumia kigezo cha ukubwa wa eneo
 
way better of what?? slums au???😀😀😀😀😀 wewe huwezi kunieleza habari ya capetown ule mji umeendelezwa na wazungu kabla ya tanzania na kenya kupata uhuru alaf unataka kufananisha in terms of developments
na inaonesha history ya miji wewe huijui maana ulipoongelea habari ya newyork ukajiona umeongea bonge la point kumbe mswaki ukabadilisha capetown kumbe hata history ya cities wewe huzijui😀😀😀😀 unabishana ilimradi tu uonkane upo
Si unaona ulivyo mjinga? kwa hiyo comment ulioquote huoni hizo miji nimetaja? Mara ni kijiji sana however much you try to make it look great by quoting its size. Size doesn't matter, development does
 
Hata Kigali ni mji changa tena ngogo sana lakini unalendeza tena imeendelea kushinda hiki kjiji chenu mnalazimisha maendeleo yake kutumia kigezo cha ukubwa wa eneo
haya msikieni sasa huyu ndio akili yake ilipoishia😀😀😀😀😀😀 yani nakuskitikia sana ndugu yangu
 
Si unaona ulivyo mjinga? kwa hiyo comment ulioquote huoni hizo miji nimetaja? Mara ni kijiji sana however much you try to make it look great by quoting its size. Size doesn't matter, development does
hehehe yani wewe kinachokuumiza ni kwann dar imepiga haraka maendeleo kwa muda mfupi na hamkutarajia kua hvo hicho ndio kinachokusumbua kichwa chako 😀😀😀😀😀😀 yani kwa developments speed sahau kabisa dar
 
Unaonyesha ni jinsi gani uko desperate na dar.

Kigali ni mji msafi mbele ya dar,na si kingine.
Hata Kigali ni mji changa tena ngogo sana lakini unalendeza tena imeendelea kushinda hiki kjiji chenu mnalazimisha maendeleo yake kutumia kigezo cha ukubwa wa eneo
 
Huyu anajaribu kubishana na kitu asichoweza.

Ni afadhari wakenya wenzie,huyu hawezi kabisa kuficha hisia zake.
hehehe yani wewe kinachokuumiza ni kwann dar imepiga haraka maendeleo kwa muda mfupi na hamkutarajia kua hvo hicho ndio kinachokusumbua kichwa chako 😀😀😀😀😀😀 yani kwa developments speed sahau kabisa dar
 
Back
Top Bottom