Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

safi mkuu,,,,,ni hivi kiukweli dar ina maeneo megi kikubwa tulichokuwa tunajenga story na ichoboy ni kuhusu upigaji wa picha kwa aerial view kiukweli picha za hayo maeneo hatuna hata hizo picha ulizoziona nyingi ni video wameziscreen shoot ila real picture hatuna......ndiyo maana humu mkiomba aerial huwa hatutoi hiyo yote sababu maeneo mengi hatujayapiga picha kuna aerial view nyingi sana zipo vizuri kuna maeneo ya tegeta,mbezi,bunju,kigamboni namengineyo na nimakubwa sana yote yapo kimpangilio......

nilitaja hayo maeneo matatu ya mikocheni,oysterbay na masaki sababu........ninyi mmeyazoea hayo kuyajua kwa kuyataja ila kwa aerial view hayo maeneo hayana picha ambazo zipo quality na kuwapa taswira vizuri .....yote hayo maeneo hatujayatendea haki kwani hayana aerial view timirifu kwa upande wa picha
Naona wewe kidogo tunaweza kuwa na mature discussion. Kilichonifanya niulize ni kwa nini hamleti picha za mitaa mengine ni kwa sababu unapoleta picha za mitaa za wadosi, haileti taswira kamili ya eneo kwa sababu sote tunaelewa kwamba the gap between the rich and the poor in these two cities iko juu sana. ukileta picha ya mtaa wa kawaida kama Umoja, Donholm au Kasarani huku Nairobi, unaweza kutathmini hali ya maisha ya watu wa Nairobi kwa sababu mitaa kama hizi ndo hubeba asilimia kubwa ya wakaazi wa hizi miji. Lakini nikileta picha ya Spring valley, Muthaiga au Lavington, hapo nitakuwa sisemi ukweli. Yote tisa, mko na uwezo wa kupiga picha estates zenu jinsi tunavyofanya huku kwetu. Pengine interest ndio bado hamjakuwa nayo
 
Lusematic, picha za anga za masaki, oysterbay na Mikocheni zimeletwa hapa si haba. Kwanza za oysterbay ziko mingi sana humu. Niko na swali lakini; Mbona mnapenda sana kuleta picha za hizi mitaa? nauliza hivyo kwa sababu hata wewe naona hizo hizo mitaa ndio pia umetaja. Kwani Dar haina mitaa mengine ya kuleta picha za anga? Kwa uelewa wangu, I understand that oysterbay is a rich neighborhood where only the monied can afford to live. Mbona hamleti picha za mitaa za kawaida mahali mwanchi wa kawaida anaishi? Hizo mitaa mnaleta ni sawa na rich neighborhoods za Nairobi kama Muthaiga, Runda nk ambazo hatuleti humu ndani sana
mfano hizo nyumba za gharama nafuu za national housing zote zipo kwenye muendemezo wa ujenzi nakupa mfano hizo video picture yaani hapo hatuna aerial view pic hata moja.....hizo pic zenyewe unazoziona ni ilikuwa vidro
images-1.jpeg
images.jpeg
 
Naona wewe kidogo tunaweza kuwa mature discussion. Kilichinifanya niulize ni kwa nuni hamleti picha za mitaa mengine ni kwa sababu unapoleta pucha za mitaa za wadosi, haileti taswira kamili la eneo kwa sababu sote tunaelewa kwa the gap between the rich and the poor in these two cities iko juu sana. ukileta picha ya mtaa wa kawaida kama Umoja, Donholm au Kasarani huku Nairobi, ubaweza kutarhmini hali ya maisha ya watu wa Nairobi kwa sababu mitaa kama hizi ndo hubeba asilimia kubwa ya wakaazi wa hizi miji. Lakini nikileta picha ya Spring valley, Muthaiga au Lavington, hapo nitakuwa sisemi ukweli. Yote tisa, mko na uwezo wa kupiga picha estates zenu jinsi tunavyofanya huku kwetu. Pengine interest ndio bado hamjakuwa nayo
huyo anakwambia habari ya tabia, watanzania sio wapigaji sana wapicha kama wakenya ila kwa sasa ndio tumeanza kupiga piga picha maeneo tofaut na still bado maeneo mengi hatujapata picha nyingi kama kule chanika ni mji mpya kigamboni mji mpya, etc
 
Dar tunaijua sana, thanks to Google earth. Sio lazima tungoje huyo jamaa wenu apige picha za estates mbili au tatu za matajiri kisha mjaze hapa. I only need to go to Google earth to see Dar in its nakedness. Nyngi mtatudanganta lakini Google earth haitawahi
hakuna anayekudanganya.......kimaisha dar inamaeneo ya uswazi na maeneo ya watu wakati pia matajiri............
hivyo mimi nilitaka nikufumbue tu kuhusu upande wa picha za aerial view kama hatuna hatuzingatia hilo ila maeneo yapo tena mazuri pia nayauswahilini yapo.
 
na siku zote nakufundisha hapa dar is the fastest developing city in africa yani maendeleo yalioko ndani ya dar ni makubwa kuliko nairobi mara tatu na ukubwa wa dar ni mara tatu ya nairobi, tatizo lako kukubaliana na ukweli hutaki 😀😀😀😀

na tatizo lenu wakenya nikujifananisha na nchi za america or europe ndugu yangu america hawaongelei msaada wa chakua au njaa 😛😛😛 wale wako mbele miaka 300
Tuongelee mambo ya maendeleo, sio size. I don't have to tell you for the millionth time that size of a city or town us not an indication of its sophistication or development. Hata hapa Africa, Dar is bigger than cape town (400sqkm) yet cape town is a hundred times better than Dar in virtually everything
 
Tuongelee mambo ya maendeleo, sio size. I don't have to tell you for the millionth time that size of a city or town us not an indication of its sophistication or development. Hata hapa Africa, Dar is bigger than cape town (400sqkm) yet cape town is a hundred times better than Dar in virtually everything
ndio maana nakwambia dar is the fastest developing city in africa my friend na huo ndio ukweli na most of developments in dar zimeanza with 10 yrs my friend lakini moto wake sio wa nchi hii😀😀😀
 
Tuongelee mambo ya maendeleo, sio size. I don't have to tell you for the millionth time that size of a city or town us not an indication of its sophistication or development. Hata hapa Africa, Dar is bigger than cape town (400sqkm) yet cape town is a hundred times better than Dar in virtually everything
capetown ni mji uliokaliwa na wazungu zaidi ya miaka 50 na wamejaa wazungu hapo na hawakuanza maendeleo leo wala jana na capetown has population 400k people
south africa wamepewa uhuru 1992 kutoka kwa wazungu na still huo uchumi wao umeshikwa na wazungu na maendeleo yote yamefanywa na wazungu na mpaka leo kuna baadhi ya maeneo capetown akionekana mwafrika anapigwa risasi
hebu kua msomi mwenye malengo

ni kama vile kenya mmasai na ngombe wake wakionekana kwenye shamba ya mzungu settler wanapigwa risasi yeye masai pamoja na mifugo yake
 
ndio maana nakwambia dar is the fastest developing city in africa my friend na huo ndio ukweli na most of developments in dar zimeanza with 10 yrs my friend lakini moto wake sio wa nchi hii😀😀😀
🙄😀😀😀😀
 
capetown ni mji uliokaliwa na wazungu zaidi ya miaka 50 na wamejaa wazungu hapo na hawakuanza maendeleo leo wala jana na capetown has population 400k people
south africa wamepewa uhuru 1992 kutoka kwa wazungu na still huo uchumi wao umeshikwa na wazungu na maendeleo yote yamefanywa na wazungu na mpaka leo kuna baadhi ya maeneo capetown akionekana mwafrika anapigwa risasi
hebu kua msomi mwenye malengo

ni kama vile kenya mmasai na ngombe wake wakionekana kwenye shamba ya mzungu settler wanapigwa risasi yeye masai pamoja na mifugo yake
bro una porojo sana leo aisee...hii insha nimekupa 9 out of 10😀😀😀
 
Chooboy njoo Nairobi nikutembeze mitaani ujione apartments za 4-10 floor's uridhike bila kuingia Cbd
 
Back
Top Bottom