Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

61C44185-210D-40D4-9638-D5F630A16279.jpeg
 
Hehehe...The Hawaii of Africa!!! if Hawaiians see this, they can even sue you for defamation. Mnashangaza sana. I can see lots of dream houses here. By the way mbona siku hizi hamelangi zile dream houses?View attachment 784303
acha ujinga wewe hayo maeneo ya jangwani magu alivoingia tu madarakani alivunja nyumba zote hizo..!,
 
acha ujinga wewe hayo maeneo ya jangwani magu alivoingia tu madarakani alivunja nyumba zote hizo..!,
Hiki kijiji chenu kimechapa kila corner. Yani ukikanyaga tu nje ya cbd hivi unakumbana na vituko. Alafu mnaipambanisha na Nairobi!!! Ujinga ulioje
 
Hiki kijiji chenu kimechapa kila corner. Yani ukikanyaga tu nje ya cbd hivi unakumbana na vituko. Alafu mnaipambanisha na Nairobi!!! Ujinga ulioje
sasa Nairobi ina slums mbaya kuliko zote duniani,unaifananisha na dar isiyokuwa na slums??aki wakenya walobaki humu ni madunya..!!
 
Kuna video ilitumwa hapa last year ndege ikiland JNIA ,mwenye ako nayo bado airushe...juu hawa watu wanakata kila kitu si dar
Mimi nimezaliwa dar,nimekulia dar,hakuna sehemu ya dar nisioijua,sawa ndugu??nakwambia hapo si dar,mbona mnalazimisha??
hata ikija hiyo video maeneo ya airport,kuanzia ukonga,vingunguti hadi tabata hakuna slums, ni nyumba za kawaida tu!ila to be honest ni kwamba nyumba zimejengwa kwa mpangilio lakini si mpangilio maalum,hii inatokana na uwezo wa kila raia wa tanzania anaweza kutafuta pesa,akanunua ardhi,akajenga nyumba vile ambavyo yeye anataka,si kama hapo Nairobi!!huwezi kuona vibanda kama vile vya kibera na slums nyinginezo hapo Kenya!!
hivi mnaelewa maana ya slums????
 
Mimi nimezaliwa dar,nimekulia dar,hakuna sehemu ya dar nisioijua,sawa ndugu??nakwambia hapo si dar,mbona mnalazimisha??
hata ikija hiyo video maeneo ya airport,kuanzia ukonga,vingunguti hadi tabata hakuna slums, ni nyumba za kawaida tu!ila to be honest ni kwamba nyumba zimejengwa kwa mpangilio lakini si mpangilio maalum,hii inatokana na uwezo wa kila raia wa tanzania anaweza kutafuta pesa,akanunua ardhi,akajenga nyumba vile ambavyo yeye anataka,si kama hapo Nairobi!!huwezi kuona vibanda kama vile vya kibera na slums nyinginezo hapo Kenya!!
hivi mnaelewa maana ya slums????
video ndio msema kweli si maneno matupu
 
sasa Nairobi ina slums mbaya kuliko zote duniani,unaifananisha na dar isiyokuwa na slums??aki wakenya walobaki humu ni madunya..!!
wanalazmisha ushindi😀😀😀😀 mm nimewaambia hapo sio dar kma wanabisha walete link kua hapo ni dar nawwpa dada yangu bure kenge hao😛😛
 
naomba kuoneshwa ofisi ya jubilee nje ya nairobi😀😀😀😀

hii ofisi ya ccm dodoma
0F5BB9E3-9A7B-41AE-BA51-DC409D1F180F.jpeg




ofisi ya ccm mwanza
FD8B8469-79B7-42A2-A2B5-FFCA2689CD8A.jpeg
 
Back
Top Bottom