Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kunduchi beach resort dar
22089716_1192498260850236_2826204284786985470_n.jpg
Hii kwao hakuna hoteli yenye facitities kama Kunduchi
 
😀😀😀 kubali leo umepatikana kona mbaya, ukakula kichapo cha mbwa koko. umehangaika leo kutafuta excuses sijui Ratings mara Facilities lakini wapi??! 😀😀
tabia tabia zako always leads you to this


take some time off JF.
Umeibuka kijana. Hahahahaha!!! Nimegundua wakenya hamuwezi mambo. Hii battle imewaweka uchi mawazo yenu. Tunawatishia kidogo tu mnakuja mazima mazima.
 
Jamaa huyo mshamba sana. Na hajui chochote. Nimeshagundua jamaa ni mweupe kichwani. Anawakilisha tabia za wakenya walio wengi. Hawana kifua cha uvumilivu wanapozidiwa. Huyu jamaa anaweza kurusha ngumi mkiwa mnajadiliana physically.
 
Wekeni 5* bana. Hizo vitu mnazoweka ni Guest House.😀😀😀
kwa hiyo style uliyonayo na unayoileta ni yakitoto ukweli upo wazi hamna hotel za maana......

kama nairobi ina 5* 19 basi nyie ndiyo magwiji wa hotels in Africa....

ila swali linakuja kama kweli nairobi ipo na 5* 19 kwanini kiongozi wenu anapinga hili na amekilu?
 
Hii ni dalili ya kuishiwa hoja. Picha zote umewekewa hapo ni kwenye roof. Tunakuonesha service zinazotolewa kwenye hotel. Sijaona Hotel yoyote umeweka yenye facility ya usafiri wa anga.

Helipad.jpg


holiday-inn-belcamp-5324795322-4x3
halafu ukichunguza vipicha vya hotel anazozilets wanatoa picha moja moja iliyopigwa kwa mbele tu ukiingia ndani na angle nyingine ni poor service....huyo nairobi wakumoka ni chizi anafikiri 5* ni vijengo ........

hajui kama unaweza ukawa na jengo kubwa service ikiwa zero inakuwa ni 0*
 
Toka jana Napitia humu najichekea
kweli Dar mlinganishe na Nairobi kwa upande wa hoteli!!
Hahaha wacheni basi masiala
Kwa hoteli Nairobi bado saaaana
 
halafu ukichunguza vipicha vya hotel anazozilets wanatoa picha moja moja iliyopigwa kwa mbele tu ukiingia ndani na angle nyingine ni poor service....huyo nairobi wakumoka ni chizi anafikiri 5* ni vijengo ........

hajui kama unaweza ukawa na jengo kubwa service ikiwa zero inakuwa ni 0*
Nyinyi midanganyika mnachekesha kweli. Yani hizo picha zilizoletwa zote zilipigwa picha za nje tu!!! Ile hong kong mlileta picha yake hapa mlileta picha za ndani? Na zile vijiapartment mnaita hoteli je? Vita vya mdomo hamna mpinzani ukanda huu ila matendo zii
 
Back
Top Bottom