Nilikwambia wewe unayejiita Computer expert jifunze kutumia Computer. Kwa Google guide kuna customer rating (those stars) na professional rating ya Hotel (imeandikwa hapo chini ya customer rating). Hiyo professional rating ndio tunayoangalia. Customer rating ni mtu binafsi. Angalia hapa.Tatizo lako unaweka vihotel vya ajabu ajabu tu. Unaangalia kwenye google classes zilizowekwa na "google local guides"
Haya mambo kila mtu anaweza akafanya hivyo. Hata mimi huwa nikiwa na muda huwa nafanya contribution kwenye google map kama local guid na kuweka classes za hizo hotel. So sidhani kama ni issue kubwa hiyo. Nipe siku tatu nitakuletea hotels zote unazoziona 3* Tanzania zitakuwa na 5*. Mbona simple tu kijana.
Hapa tunataka utuoneshe services za hizo hotels.
Tatizo kijana wewe ni mshamba wa mambo.Nilikwambia wewe unayejiita Computer expert jifunze kutumia Computer. Kwa Google guide kuna customer rating (those stars) na professional rating ya Hotel (imeandikwa hapo chini ya customer rating). Hiyo professional rating ndio tunayoangalia. Customer rating ni mtu binafsi. Angalia hapa.
View attachment 783543
Cha kushangaza ni wewe uliyekua ukilia humu eti tuangalie google kuconfirm rating ya Hoteli, ulipoona Google imetoa ukweli sahii unatapatapa ukisema eti haiko valid. Leo utalia tuu.😀😀😀
Hii ni dalili ya kuishiwa hoja. Picha zote umewekewa hapo ni kwenye roof. Tunakuonesha service zinazotolewa kwenye hotel. Sijaona Hotel yoyote umeweka yenye facility ya usafiri wa anga.Ila Wabongo mnanifurahisha sana. Yaani hii ndio mnaita 5*? Hii huku kwetu hata haiwezi itwa Hoteli. Hii ni Guest House.😀😀😀😀😀
![]()
Wewe kawaida yako maneno mengi hadi unatia huruma. Jana ulipokua ukinieleza niangalie google rating ya hizo hoteli ulikua umesahau zinafanywa na local trusted guides? Nimekwambia Rating ya watu wasio experts ni hiyo ya hizo stars hapo juu na hapo chini ndio the actual rating inakua standardized na experts. Saa zingine ni vyema kukubali kushindwa. Wee mwenyewe jana umeleta hapa viguest house unaita hoteli alafu unataka kuongelea mambo ya ushamba?Tatizo kijana wewe ni mshamba wa mambo.
Kama ukipata service unaweza ku rate. Ndivyo hivyo vi nyota nyota.
Halafu kuna Hotel classes, ndicho tunachongelea hapa. Trusted local guides wanaweka classes za hotels kwa sababu wanazijuwa na wako trusted na google. Mimi ni mmoja wa trusted local guide wa google kijana.
Unatakiwa ujifunze. Hizo rate zenye nyota nyota unaweza kuweka kwenye picha yoyote na siyo hotel pekee.
Mshamba wewe. Kwikwikwikwikwi.
😀😀😀😀Hii ni dalili ya kuishiwa hoja. Picha zote umewekewa hapo ni kwenye roof. Tunakuonesha service zinazotolewa kwenye hotel. Sijaona Hotel yoyote umeweka yenye facility ya usafiri wa anga.
![]()
![]()
Leta hiyo comment niliyosema hivyo. Mimi huwa naenda kwa ushahidi kijana. Mimi siyo mbumbumbu kama wewe.Wewe kawaida yako maneno mengi hadi unatia huruma. Jana ulipokua ukinieleza niangalie google rating ya hizo hoteli ulikua umesahau zinafanywa na local trusted guides? Nimekwambia Rating ya watu wasio experts ni hiyo ya hizo stars hapo juu na hapo chini ndio the actual rating inakua standardized na experts. Saa zingine ni vyema kukubali kushindwa. Wee mwenyewe jana umeleta hapa viguest house unaita hoteli alafu unataka kuongelea mambo ya ushamba?View attachment 783547 😀😀😀😀
we jamaa ni noma naona wakenya wanatamani hata wakumeze,unavyovuta makende yao...!!wanaleta uongo uongo hapa wakawadanganye hao hao nairaland maana wanawezana nao kwa uongo!!
Weka facilities za hotel zenu ili tuanzie hapo kwanza. Kisha tufananishe na za kwetu.😀😀😀😀
😀
Yani chopper ndiyo inayokutia kiwewe hivi? Chopper kitu kinachotua hata vijijini na porini? Boss, ushamba utakumaliza.😀😀😀😀
Hiyo hoteli ni ovyo sana. Hata Eka Hotel ambayo sii 5* imeishinda na mbali.
![]()
![]()
![]()
huu ni ushahidi tosha kwamba wakenya hamuzijui five star hotels na hamjawahi ziona karibuni dar mzione!!Five star nairobi ni zaidi ya tano
Kempinsky villarosa
Sankara hotel
Radisson blue
Lazizi premire
Boma hotel
Eka hotel
Intercontinental hotel
Sarova stanley
Fairmont
Hemingways karen
Crown plaza hotel upperhill
Baadhi ya izi nilizo taja international nrands ni 6
Leta hiyo comment niliyosema hivyo. Mimi huwa naenda kwa ushahidi kijana. Mimi siyo mbumbumbu kama wewe.
Ndiyo maana hapo kwenye picha unaona reviews. Kajifunze kwanza kutumia google maps. Kisha nenda kasome ili ujue google local guides levels na majukumu yao. Kisha utakuja hapa na kujicheka mwenyewe.
View attachment 783553
Tatizo lako unaweka vihotel vya ajabu ajabu tu. Unaangalia kwenye google classes zilizowekwa na "google local guides"
Haya mambo kila mtu anaweza akafanya hivyo. Hata mimi huwa nikiwa na muda huwa nafanya contribution kwenye google map kama local guid na kuweka classes za hizo hotel. So sidhani kama ni issue kubwa hiyo. Nipe siku tatu nitakuletea hotels zote unazoziona 3* Tanzania zitakuwa na 5*. Mbona simple tu kijana.
Hapa tunataka utuoneshe services za hizo hotels.
nyie mbona mwapenda maneno maneno!!weka five star hotels hapa halafu tulete za bongo!!Kama Crowne Plaza ya Nairobi ni 4-star, basi Dar is slum hakuna 5-star ata moja.
Kwa sababu Crowne ingelikuwa Dar ingekuwa hoteli namba moja.
Saa zingine unaongeanga kama mwenye una ugali kwa kichwa badala ya ubongo. Umeniwekea picha, nimekuwekea picha sasa unasema nikuwekee facility. Hivi unataka nikutumie GYM ya hoteli kwa Uber ama nini?😀😀😀Weka facilities za hotel zenu ili tuanzie hapo kwanza. Kisha tufananishe na za kwetu.
Wee nawe unataka tukuwekee haya mambo mara ngapi ndio uridhike? Ndio hizo 5* za haya majiji mawili.nyie mbona mwapenda maneno maneno!!weka five star hotels hapa halafu tulete za bongo!!