ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
so tribe hotel nayo ni hotel???😀😀😀Na kwa akili yako unaona hiyo apartment ni kitu ya kuita hotel. Najua Dar apartment biildings ni kidogo ila punguza ujinga kuleta vitu vya ajabu na kuviita hoteli. Such buildings here in Nairobi ni apartments za kupangisha, sio hoteli. Hiyo tribe unadharau huwezi afford hata kununua kikombe cha chai. Pengine uuze mali yako yote na wewe pia ujiuze
hvi wewe akili yako iko sawa sawa kweli ???
hzo appartment ni za hotel ambazo wanafkia watu wenye big families na wanalipa kama wanavolipa hotels acheni ushamba na kushindanisha nairobi na dar kwenye hotels ni sawa na kukimbiza upepo yani dar kwa namna yoyote ile hamuiwezi hata ukucha sinazungumzia zanzibar hapo heheheh😛😛😛😛