Locci
JF-Expert Member
- Dec 16, 2017
- 1,002
- 826
nimeshuhudia kwenye event nyingi za Kenya umarekani upo..kuna siku nilikuwa natazama marudio ya match ya gor na timu gani sijui ligi yenu Mara paaap naona mashabiki wanapeperusha bendera ya marekani nikaanza kutafuta sababu ya ile bendera kuwepo pale uwanjani,nikakosa!NANI ALIKUAMBIA
hata hizo mnazoita matatu hizo picha mlizochora,asilimia kubwa ni wasanii wamarekani..yaani nimeona event nyingi sana wakenya lazima wajihusishe na marekani pasipo sababu za msingi..