Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi ni ka mji kadogo tu kanaweza kulingana na masaki ya jiji kubwa afrika mashariki na kati 'DSM'
Screenshot_20180516-132955.jpg
Screenshot_20180516-132936.jpg
 
haya niambie hapo jengo gani linaelekea 30😀😀😀😀😀😀 iko wapi inaelekea 30 kwann siku zote unakua mpuuzi wewe

jengo liko 15floors unaniambia linaelekea 30 we akili yako iko sawa kweli????
Wewe ni kama unavuta bangi...hapana, haijafika hata hiyo 15 unasema. Iko 5 floors
 
Acha ujinga wako!!. Hapa tupo na battle Dar vs Nairobi.
Ukiishiwa pumzi usilete maneno ya kipuuzi yasiyo na maana.
Nimekuuliza swali unaruka ruka tu kama chura.
Supa dip lens😀😀😀
 
AVIC yenu ilianza lini na inaisha lini?
Avic May 2015 - Ujenzi haujaanza
vErOj0W.png


March 2016 - Excavation began
24955627323_946a24178c_b.jpg


January 2017
32117766682_3d3df16dd5_b.jpg


April 2018
27022510767_1653207306_o.jpg


Yaani within 2 years Avic imetoka from nothing to 30 floors yet ni skyscrapers while hivyo vimbilikimo vyenu kuanzia 2016 bado vipo 4 floors? Wewe acha kulinganisha dhahabu na tope.
 
Avic May 2015 - Ujenzi haujaanza
vErOj0W.png


March 2016 - Excavation began
24955627323_946a24178c_b.jpg


January 2017
32117766682_3d3df16dd5_b.jpg


April 2018
27022510767_1653207306_o.jpg


Yaani within 2 years Avic imetoka from nothing to 30 floors yet ni skyscrapers while hivyo vimbilikimo vyenu kuanzia 2016 bado vipo 4 floors? Wewe acha kulinganisha dhahabu na tope.
Jibu swali lini mnamaliza?
 
Back
Top Bottom