Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I always wonder why Tanzanians are always fussing over this midget. This is not even a building worth talking about - so many buildings like this sprucing up all over Nairobi unnoticed.
Kijana hebu angalia view kama hii toka Dar
0-1200x900.jpg


Unadhani ni nani anaweza kuja kuwekeza Nairobi!!?
Serious people events kwenye bahari, siyo kwenye vichuguu vya Nairobi.
Nairobi ilifaa sana kwa wakati uliopita. Lakini kwa sasa yamebaki mapango tu, na majengo ya kizamani (Western Culture Building) Sasa hivi mzee tupo kwenye new era with modern Buildings (glass building).
Halafu majengo yanakuwa na weight ndogo. Siyo hayo hapo Nairobi yamejengwa kwa udongo kutoka chini mpaka kwenye roof.

Hapa ni Dubai
maxresdefault.jpg


Hapa ni London
web-london-city-corbis.jpg


New York vs Dar es salaam
why_Dar_es_Salaam_has_such_high_housing_prices.png
 
Mzee mbona povu zito hivyo. Nimekwambia in near future Dar shall be The Hong Kong of Africa.
Nairobi ilikuwa nzuri hapo zamani za kale. Lakini kwa sasa tunaongelea modern cities, Most of best cities in the world zinakuwa kando kando ya maji (Bahari, Ziwa au mto) Even Babylon ilikuwa kando kando ya mto.
Nairobi haina future. Mgewekeza zaidi Lamu au Mombasa mzee.
Hakuna mtu atakuja kutazama vichuguu hapo Nairobi. Watu wanataka kula maisha ndani ya maji mzee.

Dar ni moto wa kuote mbali usipime.
Huu ni ushauri tu dogo langu.
You're very stupid, na ujinga wako unaona Dar itakuwa bora kushinda Joburg, Atlanta, Munich, Beijing, Milan, Rome, Madrid, Sao Paulo, Mexico City et al? Some of you are so stupid it makes no sense arguing with you.
 
You're very stupid, na ujinga wako unaona Dar itakuwa bora kushinda Joburg, Atlanta, Munich, Beijing, Milan, Rome, Madrid, Sao Paulo, Mexico City et al? Some of you are so stupid it makes no sense arguing with you.
Hapo ndio umeingia kwenye 18 zangu.
Hebu nitajie katika cities hizo.
Hebu tuanze kutaja Cities zilizopo kando kando ya bahari tuweze kulinganisha
Tunaanza
Beijing vs Hong Kong
Mexico City vs Los Angeles
Nairobi Vs Dar es salaam
Nakuru vs Mombasa
Garissa Vis Mwanza
Madrid vs Bacelona

Hahahaha utaangukia pua dogo
 
Hapo ndio umeingia kwenye 18 zangu.
Hebu nitajie katika cities hizo.
Hebu tuanze kutaja Cities zilizopo kando kando ya bahari tuweze kulinganisha
Tunaanza
Beijing vs Hong Kong
Mexico City vs Los Angeles
Nairobi Vs Dar es salaam
Nakuru vs Mombasa
Garissa Vis Mwanza
Madrid vs Bacelona

Hahahaha utaangukia pua dogo
You're too dumb to engage. Move along.🙄🙄
 
I know what I'm saying...ground floor imezibwa na iyo fence ya bati (aluminium sheets) the next one ambayo wewe ndio unaiona kama ground Ndio first floor
That's a mezanine floor buddy. Mezzanine floors are not counted.
 
Google idiot.
Hakuna. Nimejaribu kupita kwenye google naona maneno tu bila. Nime ona kuna vijengo vitatu vyenye minara
1. Britam Tower (32fl) completed 2017
2. UAP Old Mutual Tower(33fl) completed 2015
3. Times tower (34fl)

Baada ya hapo hakuna kitu tena. Panakuwa jungle

Britam Tower (32fl) with mnara.
800px-Britam_tower.jpg



UAP Old Mutual Tower(33fl) old fusion no glass matofari kuanzia chini mpaka juu with mnara
800px-UAPTower.jpg



Times Tower old fashion building
KRA.jpg



Hebu jaribu kuringanisha na Dar sasa.
 
I see u enjoying counting our towers,
Is there any 34storey building in the entire Kenya? The answer is No.
In dar we have at least 5 buildings 35floors and more,
And a Good thing is that these towers are owned by Government organs.
Prism Tower ?
Times Tower built in 1994 ?
 
You're too dumb to engage. Move along.🙄🙄
Acha kukimbia hapa tunataka twende kwa evidences siyo maneno matupu

Nairobi with
1. Britam Tower (32fl) completed 2017
2. UAP Old Mutual Tower(33fl) completed 2015
3. Times tower (34fl)
Dar with
1. TPA Tower (40fl)
2. PSPF Tower 1 (35fl)
3. PSPF Tower 2 (35 fl)

Hapo nani kapigwa bao.
Nairobi ni cha mtoto kwa Dar. Hapa mnaongea maneno tu.
Bado kuna
PPF HQ, Mzizima Towers, MNF Towers, Rita Tower etc.
 
Back
Top Bottom