11flrs towers????? Ok.Rafiki nimekuuliza swali zinaisha lini?
Au basi nipatie maendeleo ya ujenzi huo. Kwetu kuna project kama hiyo inaitwa Kawe 711. Imesimama kwa muda.
Lakini itaendelea mwaka huu.
![]()
![]()
Kwahiyo usituoneshe design tunataka mwendelezo.
Aise poa kabisa. Ngoja nitaenda weekend kupig picha turushe humu waone.
By the way wasanii wa TZ wanapana sana. Shilole amekuja na Shishi Chilli
Wataelewa tu baada ya muda kidogo
Leo mmekubali PPF ni la 35 floors!? Kongoleni sana. Wapi Annael?Bila kusahau PPF building 35,14,9flr
Dar hata mimi siwezi potea even if you take me to the farthest end of that town. I simply raise my head and see the three blue towers for direction. Tangu lini nyumba za gebo zenye mabati ziliparara zikamzuia mtu kuona mbali. Huu mji wenu inachekesha sana. Yafaa niwaletee earial photos of Dar estates muone vile huu mji hauna mpangilio na kukosa nyumba za kuvutiaHaha Nai utaona nn misitu na matatu
Hahaha. Sawa afadhali wewe umekubalinitembee mara ngapi....hapo nairobi hakuna cha ajabu.........ila kwa upande wa vibarabara mmejitahidi kidogo siyo kivile
Acha kujitia aibu mbele ya uma wewe....those are golf courses mshamba wewe - the best in the region. Unaonaje hizo mandhari ukilinganisha na Dar yenu iliyochakaa?mmekuwa wafugaji samaki
Mzizima haiwezi isha mwaka huu. Tuseme tu ukweliMbona jibu rahisi sana unazunguka zungu tu. Sisi tumekueleza mwaka huu ngoma hizi zipo tayari.
1. PPF HQ
![]()
2. NHC Morocco Square Towers
![]()
3. Mzizima Towers
![]()
4. MNF Towers
![]()
Na maengine mengi tu
kumbe ni golf area dah....kweli ushamba haufai nilijua hayo ni mabwawa ya samaki....kumbe golf area aisee......nikuzuri kama peponi.....Acha kujitia aibu mbele ya uma wewe....those are golf courses mshamba wewe - the best in the region. Unaonaje hizo mandhari ukilinganisha na Dar yenu iliyochakaa?
Mbona jibu rahisi sana unazunguka zungu tu. Sisi tumekueleza mwaka huu ngoma hizi zipo tayari.
1. PPF HQ
![]()
2. NHC Morocco Square Towers
![]()
3. Mzizima Towers
![]()
4. MNF Towers
![]()
Na maengine mengi tu
The first pic is Giraffe Center in Nairobi. If you want to eat breakfast in the company of giraffes, that's the place to be. Mambo ya Nairobi hayo. The second pic is Karen estate. Yea, these are what we call estates in 254, not those funny structures you have in Dar. Hapo Karen hwezi afford kuishi hata uuze familia yako yote hadi ujiuze wewe pia. Ever heard of where people pay in excess of 350, 000 kenya shillings in rent per month? How many trillions are those in your currency?snake zone![]()
![]()
18floors bwege we ziko 11 towers with 18floors11flrs towers????? Ok.
nimekuonesha hapo Topping-Out Ceremony. Towers zimeanza kukamilika moja baada ya nyingine kwa kasi ya 4G
Hahaha. Sawa afadhali wewe umekubali
no new in nairobi....city yenu imechakaa sanakabla ya yote nenda kajifunze matumizi ya neither...nor.Tangu lini Mtz akajua English ndo unikosoe hapa😀😀😀...Ebu niambie nimekosea wapi and then venye inafaa ikuwe😀
kumbe hapo panaitwa karen,,,,sehemu ambayo nikiuza familia yangu na nikijiuza mwenyewe siwezi kuefford.....dah mtuume nilikuwa sijui.....The first pic is Giraffe Center in Nairobi. If you want to eat breakfast in the company of giraffes, that's the place to be. Mambo ya Nairobi hayo. The second pic is Karen estate. Yea, these are what we call estates in 254, not those funny structures you have in Dar. Hapo Karen hwezi afford kuishi hata uuze familia yako yote hadi ujiuze wewe pia. Ever heard of where people pay in excess of 350, 000 kenya shillings in rent per month? How many trillions are those in your currency?
