Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

estim-construction-city-skyline.jpg
 
kwan azam tv anafanya nn kenya???😀😀😀
kwa taarifa yako zuku kwa tanzania kashafeli kitambo ndio maana anataka kuuza kampuni kwa mtanzania hehe kuna ushindani mkali sna wakibisashara
Wakenya wenyewe hawaipi support kampuni yao ya zuku, gotv, dstv, startimes zimewashika.... gotv hajathubutu kuja bongo maana katika research yake amegundua terrestial huku ilishawashinda startimes, continental, ting na hata ila kampuni ya ipp, tz ni kubwa bwana miji imetanuka hatujarundamana kama kuku pamoja so unahitaji mitambo mikubwa ku cover watumiaji wachache....
 
Kweli hii "density ya ghorofa tano" itachukua upperhill miaka 20 mbavu zangu😀😀😀😀😀😀
uheheheh lia tu sina cha kukusaidia kwenye kilio chako😀😀😀😀😀😀 ilala ina density kubwa kuliko upperhill
 
wewe ndiyo haujui na haujalazimishwa kujua ila kuna wakenya wanzako wanaijua

halafu unashangaza watu kama kitu haukijui kwanini unachangia changia hoja kuhusu azam tv siukae kimya tu ...punde kunapotokea hoja ya kitu unachokijua ndiyo uchangie



Azam TV is just like another mediocre known as cloud TV ,,their studio is the size of my store,nilishangaa kuona watu wawili wamejifinya kwa kiketi kimoja eti analyst,afu advert ni moja tu cocacola.for sure I cursed myself for having turned on that channel to watch asshole journalists.
 
Azam TV is just like another mediocre known as cloud TV ,,their studio is the size of my store,nilishangaa kuona watu wawili wamejifinya kwa kiketi kimoja eti analyst,afu advert ni moja tu cocacola.for sure I cursed myself for having turned on that channel to watch asshole journalists.
kwa taarifa nakupa azam tv studio is the modern studio in east and central africa kama unabisha sema tu😀😀
 
Nenda mombasa ukaone sio kuja tu na takwimu za kujipangia chumbani kwako


Having azam dish does not mean that you watch azam TV my friend, hata huku watu wananunua star times yet its not owned by Kenyans,,,,so long as the content they air are authorised by communication authority of kenya,no big deal.
 
What am trying to say is that azam decoder has so many channels ,actually 95% will be Kenya's channel ,so having it does not oblige you to watch azam TV,understood?.
Wewe vipi, the fact that Kenya wanatumia Azam decoders inatonya kuonyesha strength ya Azam as a company and Tanzania as a country, kinachotokea humo majumbani kama wanaangalia au hapana, hiyo inabaki kuwa speculations ambazo huwezi kuzithibitisha bila kufanya research, but so long as you see Azam dishes on top of buildings, is a pro indicator that many people do watch Azam TV.
 
Back
Top Bottom