Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

duuh hilo si banda la kuku
As you post this, natural calamities and unavoidable circumstances prevail every where, when stuff get ugly huko kwenu post here too.
IMG_20180504_210252.jpg
IMG_20180504_210234.jpg
 
Upanga imetulia sana ...
Upanga kuna muhimbili national hosp,Auramall , apartment nyingi sana,international and local schools, universities like Mzumbe cumpus ya Dar. ..private hosp kama regency and the like...hotels Za kisasa pamoja na clubs na casino zakibabe...baadhi ya balozi pia zimo na nyumba Za ibada ,kumbi kama diamond jubilee nk View attachment 765821View attachment 765823
Ila barabara za upanga ni changamoto aiseh! Na mvua hizi
 
na hata hatuna shobo naye


Hii team ndogo ndio mnajichocha NAYO na hata labda huyu player hajulikani hukula Bench KILA siku. Aty Yusuf?? Hahaha ukiuliza Yusuf ninani hakuna mwenye anamjua lakini SEMA WANYAMA [HASHTAG]#TEAM[/HASHTAG] KUBWA. TENA AKO NA VALUE.. YUSUF NDIO NANI SASA...and BY THE WAY... KWA BUNDASLIGA NI TEAM MOJA TU YA MAANA [HASHTAG]#BAYERN[/HASHTAG] NA LABDA DVB.... I DARE YOU TO SHOW ME PLAYER AKO EPL AMA LALIGA... SISI TUKO NA ZOTE MBILI Na tena sio WA TZ... SO UNATAKA TUANZE KUEKA KINA DIVOK...?? HAPA HAMUEZANI WANYAMA NA OLUNGA WOTE NI WAKENYA WAPI WENYU WA TZ??
 
wacha tununue share alaf tuwafundishe kufanya biashara😀😀😀😀 tanzania kuna ushindani mkali sana
Kama BADO Tz MNA WATCH TV STATION ZA KENYA?? BADO CAMPUNI ZA KENYA NDIO ZIKO HUKO?? BIASHARA ILIWAKATAA NYINYI LABDA MUIMBE ALAFU MHAMIE KENYA KAMA DIAMOND
 
Kama BADO Tz MNA WATCH TV STATION ZA KENYA?? BADO CAMPUNI ZA KENYA NDIO ZIKO HUKO?? BIASHARA ILIWAKATAA NYINYI LABDA MUIMBE ALAFU MHAMIE KENYA KAMA DIAMOND
Zuku ilisha fail kitambo in tz, complete set now is only 59,000/=, dstv (another failer 99,000/=) but azam 150,000/= na anauza balaa kampuni zenu zipo ila zapumulia mashine njooni mzichukue
 
nyie niwakimbizi sana huwa mnavamia nchi za watu kutafuta maisha sababu kenya ni shida na ninjaa majanga hayaishi ajira hakuna...

mcheki huyo




Hii ni team ndogo SANA... Hahaha alafu unataka ku mcompare na Wanyama & By the way tuko na WENGINE [HASHTAG]#Olunga[/HASHTAG] The man who scored a Hart trick [HASHTAG]#Laliga[/HASHTAG] [HASHTAG]#Currently[/HASHTAG] the Best player in East Africa!! *Original Club:GOR MAHIA!!!
 
Zuku ilisha fail kitambo in tz, complete set now is only 59,000/=, dstv (another failer 99,000/=) but azam 150,000/= na anauza balaa kampuni zenu zipo ila zapumulia mashine njooni mzichukue
Tz ni BRANCH NDOGO YA KENYA NURSE AKITOKA KENYA ANAKUWA DOCTOR HUKO SO CHILLAXX KENYA NDIO ECONOMIC DOG YA EAC TUKIKOHOA MNAHAMA
 
nyie niwakimbizi sana huwa mnavamia nchi za watu kutafuta maisha sababu kenya ni shida na ninjaa majanga hayaishi ajira hakuna...

mcheki huyo




This dude is Danish ata. I can tell you a host of foreing guys who could have played for Kenya but chose European countries. Origi wa Liverpool, Guidetti wa Sweden na Martin Olsson pia wa Sweden
 
nyie niwakimbizi sana huwa mnavamia nchi za watu kutafuta maisha sababu kenya ni shida na ninjaa majanga hayaishi ajira hakuna...

mcheki huyo




Sisi tukianza kumwaga hapa picha za akina Origi, Mariga, Oliech, Victor Wanyama na wengine, utatoroka mzee, wacha hiyo mchezo yako.
 
Kama BADO Tz MNA WATCH TV STATION ZA KENYA?? BADO CAMPUNI ZA KENYA NDIO ZIKO HUKO?? BIASHARA ILIWAKATAA NYINYI LABDA MUIMBE ALAFU MHAMIE KENYA KAMA DIAMOND
kwan azam tv anafanya nn kenya???😀😀😀
kwa taarifa yako zuku kwa tanzania kashafeli kitambo ndio maana anataka kuuza kampuni kwa mtanzania hehe kuna ushindani mkali sna wakibisashara
 
Back
Top Bottom