Bottas
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 1,817
- 1,142
Asante kwa kutuletea picha bila make up, sasa hapo ndio kina mulisaaa wanaita cbd, vigorofa kama sita😀😀😀No, thats what we call the CBDView attachment 765773
Asante kwa kutuletea picha bila make up, sasa hapo ndio kina mulisaaa wanaita cbd, vigorofa kama sita😀😀😀No, thats what we call the CBDView attachment 765773
tayari kashaamua kumuuzia mafuruki😀😀Zuku ilisha fail kitambo in tz, complete set now is only 59,000/=, dstv (another failer 99,000/=) but azam 150,000/= na anauza balaa kampuni zenu zipo ila zapumulia mashine njooni mzichukue
Ebu nipe hii picha upande bahari?kwa huu upande mkavu limechoka sana😀😀😀Upanga imetulia sana ...
Upanga kuna muhimbili national hosp,Auramall , apartment nyingi sana,international and local schools, universities like Mzumbe cumpus ya Dar. ..private hosp kama regency and the like...hotels Za kisasa pamoja na clubs na casino zakibabe...baadhi ya balozi pia zimo na nyumba Za ibada ,kumbi kama diamond jubilee nk View attachment 765821View attachment 765823
ndio tumeanza sasa kutumia resources baada kuhakikisha watoto wakitanzania wanesoma wanaeza kushika kazi sasa ikiwa ni just 10 yrs munaanza kulia unategemea 20 yrs mutakua salama????Nyinyi mna mambo mengi mazuri tu lakini hiyo haijawazuia kuwa LDC
so uneamua kujipa matumaini???😀😀😀Sio CBD lakini imeendelea kushinda any part of Dar.
Kenya tuna upperhill ambayo ina the second and fourth tallest buildings in Africa. Na the tallest inakuja online 2021. Wewe baki hapo na dharau ya upperhill. Hapa East Africa na hata west Africa hakuna eneo inayo majengo marefu kushinda upperhill. (Both completed and underconstruction).so uneamua kujipa matumaini???😀😀😀
Hahaha aty azam TV... My friend I can assure you 0% of Kenyans watch azam TV hata MIMI siijuikwan azam tv anafanya nn kenya???😀😀😀
kwa taarifa yako zuku kwa tanzania kashafeli kitambo ndio maana anataka kuuza kampuni kwa mtanzania hehe kuna ushindani mkali sna wakibisashara
Big international companies come in only one city in east Africa [HASHTAG]#Nairobi[/HASHTAG] the only city with grade A offices in east Africa.... Dar labda mshindane na mombasa Nairobi sio level yenyuso uneamua kujipa matumaini???😀😀😀
Aty Energy drink na watu KAMA KINA LUPITA WANATOA BLACK PANTHER!! [HASHTAG]#ORIGINAL[/HASHTAG] COPY IMOTOKEA YOU NEED TO WATCH ITAlikiba ameamua kufungua kiwanda chake cha kutengeneza energy drink na soon zinaanza kuja kenya
so tunawaombeni wakenya mukae mkao wa kula
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
View attachment 766196
Hahahahahahahahahahaha, kama kawaida propaganda za Jubilee kuchora barabara neno BRT na kusema Kenya imepata BRT ndefu kuliko Tanzania na wapumbavu wakaamini. Kweli Kenya ni failed stateTz ni BRANCH NDOGO YA KENYA NURSE AKITOKA KENYA ANAKUWA DOCTOR HUKO SO CHILLAXX KENYA NDIO ECONOMIC DOG YA EAC TUKIKOHOA MNAHAMA
Mbona ninyi ni failed state, lini mtatoka huko?Nyinyi mna mambo mengi mazuri tu lakini hiyo haijawazuia kuwa LDC
Big international companies zimewasaidiaje kupunguza umasikini hapo Nairobi?Big international companies come in only one city in east Africa [HASHTAG]#Nairobi[/HASHTAG] the only city with grade A offices in east Africa.... Dar labda mshindane na mombasa Nairobi sio level yenyu
ikwapi hio building tuoneshe??? maana leo nahamu sana yakucheka😀😀😀😀😀😀😀Kenya tuna upperhill ambayo ina the second and fourth tallest buildings in Africa. Na the tallest inakuja online 2021. Wewe baki hapo na dharau ya upperhill. Hapa East Africa na hata west Africa hakuna eneo inayo majengo marefu kushinda upperhill. (Both completed and underconstruction).
hehehe ndio mwisho wa akili yako sasa nieleze hzo big companies zimesaidia vp kupunguza ajira???ikiwa unenployment rate in kenya is 40%Big international companies come in only one city in east Africa [HASHTAG]#Nairobi[/HASHTAG] the only city with grade A offices in east Africa.... Dar labda mshindane na mombasa Nairobi sio level yenyu
nenda mombasa na pwani nzima ya kenya kaulize azam tv watakwambia wenyewe kipindi natoka lungalunga nilikutana na kila nyumba juu kua dish ya azam tv nilifurahi sanaHahaha aty azam TV... My friend I can assure you 0% of Kenyans watch azam TV hata MIMI siijui
hehhehe alikiba anamiliki kampuni ya rockstar4000 studio pamoja na kampuni ya mofaya energyAty Energy drink na watu KAMA KINA LUPITA WANATOA BLACK PANTHER!! [HASHTAG]#ORIGINAL[/HASHTAG] COPY IMOTOKEA YOU NEED TO WATCH IT
Mbona ninyi ni failed state, lini mtatoka huko?
Kenya ranked as 'failed
I am not talking about density ya kijiko na nyama. I am talking about height of buildings.ikwapi hio building tuoneshe??? maana leo nahamu sana yakucheka😀😀😀😀😀😀😀
nasubiri unioneshe leo nahamu yakucheka maana kucheka ni afya
upper hill kuifikia density ya kijitonyama itakuchukueni 20 yrs eat that na ushibe😛😛😛
Haha sasa nurse anakua doctor wap?wakat job description yake niuuguzi ?usiwe kama ulipoteza muda wako shuleTz ni BRANCH NDOGO YA KENYA NURSE AKITOKA KENYA ANAKUWA DOCTOR HUKO SO CHILLAXX KENYA NDIO ECONOMIC DOG YA EAC TUKIKOHOA MNAHAMA
yani britam unaeza ita jengo refu east africa we akili yako iko sawa???😀😀😀😀😀I am not talking about density ya kijiko na nyama. I am talking about height of buildings.