Unajua kitu funny ni Africa kuna country moja tu yenye imejaa wajinga.... Tz...... Niambie country gany inatumia kiswahili entirely Kama hio BONGO LALA YENU.... Kama Uganda wanaongea English na bado wako na kiganda yao Nigeria pia Congo ni French nyinyi mko DUNIA yenu.... aty maths mnafunzwa na kiswahili..?? Nkt! Kumaanisha mtoto WA class 3 kenya akifika Tz anakuwa Doctor[/Q
asiwe kubali asili yake ni mpumbavu, kiingereza ni lugha yenu? tunajivunia kiswahili, ndiyo lugha yetu inayo tutambulisha duniani.