Locci
JF-Expert Member
- Dec 16, 2017
- 1,002
- 826
Unajua kitu funny ni Africa kuna country moja tu yenye imejaa wajinga.... Tz...... Niambie country gany inatumia kiswahili entirely Kama hio BONGO LALA YENU.... Kama Uganda wanaongea English na bado wako na kiganda yao Nigeria pia Congo ni French nyinyi mko DUNIA yenu.... aty maths mnafunzwa na kiswahili..?? Nkt! Kumaanisha mtoto WA class 3 kenya akifika Tz anakuwa Doctor[/Qwazungu
ndio maana nasema wewe hujitambui..umesoma shule gani wewe??..kitendo cha nyinyi wakenya kutumia English,Congo kutumia French,n.k tafsiri yake ni kwamba bado mna chembechembe za utumwa..yani bado mnawatukuza hao mabwana zenu!!amkeni nyinyi oneni wenzenu wa eSWATINI wanabadilisha jina kutoka Swaziland walilopewa na wakoloni wa kiingereza (malikia)na kuitwa jina lao eSWATINI..!!ni bora uwe maskini lakini u huru,si mtumwa!!
suala la ujinga nikwambie kweli ktk huu ukanda wa afrika mashariki hakuna taifa lenye watu wajinga kuzidi nyinyi wakenya!ona raisi wenu kakubali ushoga utambulike nchini kwenu ili kuwafurahisha wazungu???yaani wewe na midevu yako yote hiyo uolewe na mwanaume mwenzio?????
